Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Swali la kwanza la msingi, uliangalia mechi ya Al ahly na mamelody ilivyopigwa au unakuja kuharisha hapa? Sasa hao Al ahly unaowana ni wanyonge wanaenda hadi fainali, wakati sisi tunaishia hapa hapa robo
 
Simba 1-2 Kaizer

Kombe wanabeba akina msuva.. ..semeni oyeee πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Muwekeze nguvu zaidi Azam fc, hawa atleast wataleta ushindani kimataifa na watafika mbali. Lakini mkiendelea na usimba na uyanga mtakua mnaishia makundi.. ..


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Kama Simba anafuzu nusu fainali, anaenda kukutana na Wydad Casablanca au Mc Algers.

Ni lazima.
 
Mchezo wa mpira ni saikolojia, alimradi tu muwe na timu bora inayoweza kucheza na kupata matokeo!
Matokeo ilopata Simba hatua ya makundi sio ya kubahatisha kwanini hatua ya robo fainali tushindwe? Ofcoz we can!
 
Mkuu usiwe kama mtoto wa darasa la 7 anayewaza mtihani wa form four! Hakuna haja ya kucomplicate mambo hebu twende na ule msemo wa Lowassa kwamba Tutalivuka daraja tutakapolifikia!
 
GENTAMYCINE:

Hongera sana kwa andiko lako zuri mkuu.
Kwanza ni hatua kubwa sana kwa Simba Sc kufika hapo lakini pia tusiishie tu kushinda ni lazima tujifunze kwa hivi vilabu vikubwa namna na jinsi ya wao wanavyobrand hizi timu.

Nilijaribu kuwafatilia #Amakhosi4Life namna na jinsi timu yao ilivyokuwa branded inakuonesha kabisa hii timu ni klabu ya pili kwa utajiri Afrika tuna haja sasa ya MO badala ya kufikiria kujizawadia vitu ambavyo ni maisha yake binafsi kuliangalia hilo na asituaminishe na mafanikio ya muda mfupi.

Huwezi ukakuta Stan Kroenke Arsenal haijafanya vizuri na akaanza kuongelea maisha yake binafsi. Huu ni ukweli ambao hausemwi Simba kabla yakucheza inakuwa na mashabiki wengi akipoteza makosa yanaonekana.
 
We utakuwa yanga yaani unaibeza team ambayo imefika QF na kusema hamna kitu. We boya kweli. Kufika QF unaona kitu chepesi....ushabiki wa kindezi tuacheni kisa unajua kutype keyboard ya simu yako. Simba knawachezj wazuri...kukosea plan ya kucheza na kaizer ndo manenooo weeee. Mlitubez sana group stage. Simba inazid kukua kama hujui. Punguza unafiki
 
Mchezo wa mpira ni saikolojia, alimradi tu muwe na timu bora inayoweza kucheza na kupata matokeo!
Matokeo ilopata Simba hatua ya makundi sio ya kubahatisha kwanini hatua ya robo fainali tushindwe? Ofcoz we can!

Timu inayoongoza ligi imefungwa goli 4 na timu inayoshika nafasi ya 11 πŸ˜„ kwa maana mmekutana na vibonde na vikawapiga 4G.. ..je wangekutana na wydad, Belouizdad au mc algiers si wangepigwa hata 10!!!


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Mchezo wa mpira ni saikolojia, alimradi tu muwe na timu bora inayoweza kucheza na kupata matokeo!
Matokeo ilopata Simba hatua ya makundi sio ya kubahatisha kwanini hatua ya robo fainali tushindwe? Ofcoz we can!
Haujawahi kuvuta bangi ujanani
 
Kama Simba anafuzu nusu fainali, anaenda kukutana na Wydad Casablanca au Mc Algers.

Ni lazima.
Sasa unadhani kwa hawa Giants wa Kiarabu tutapita Mkuu kwa aina ya Beki zetu nyoro nyoro Kapombe, Hussein, Wawa na Onyango?
 
Nimetahadharisha hili Kiufundi kabisa nimeishia Kulaumiwa, Kuchukiwa na kuambiwa Mimi ni Yanga SC huku nikifananishwa na Michael Wambura na Shaffih Dauda huku huko nyuma pia nikifananishwa na Haji Manara, Nape Nnauye na Masoud Kipanya.
 
Naijua Simba SC kuliko Pumbavu Mmoja Wewe na nimejitolea na hadi kuhatarisha Maisha yangu ili kuipa Mafanikio Simba SC yako hiyo sawa? Huna ulijualo kuhusiana na Simba SC na acha kunipotezea pia muda wangu kwani Wewe si wa Level yangu Kujadiliana Masuala ya Simba SC na Soka la Tanzania na hata la Ulaya vile vile sawa?
 
Mkuu usiwe kama mtoto wa darasa la 7 anayewaza mtihani wa form four! Hakuna haja ya kucomplicate mambo hebu twende na ule msemo wa Lowassa kwamba Tutalivuka daraja tutakapolifikia!
Sina Fikra za Kiuswahili na Kipumbavu kama ulizonazo ( mlizonazo ) Mashabiki wengi wa Simba SC.
 
Mchezo wa mpira ni saikolojia, alimradi tu muwe na timu bora inayoweza kucheza na kupata matokeo!
Matokeo ilopata Simba hatua ya makundi sio ya kubahatisha kwanini hatua ya robo fainali tushindwe? Ofcoz we can!
Saikolojia huwa inaenda na Quality hebu acheni Kunichosha na uwezo wenu mdogo wa Akili ( Kufikiri ) tafadhalini sawa?

Yaani umefungwa Goli zile Nne ( 4 ) Kiufundi na kutokana na Ubora mkubwa wa Wachezaji ghali wa Kaizer Chiefs FC ambayo imewekeza kweli kweli leo unakuja kuniambia Upuuzi wako wa Simba SC Kushinda kwa Kigezo cha Saikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…