Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole / Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi ( 10 ) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 ( 2015 ) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko ( Moja ) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu ( siyo JamiiForums ) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Jiana baya, NJAA ndii.... ana njaa, anahitaji chakula.
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole / Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi ( 10 ) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 ( 2015 ) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko ( Moja ) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu ( siyo JamiiForums ) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Paskali anasumbuliwa na ugonjwa wa ukabila
 
Yule mama alifanya mambo makubwa kwa Taifa hili- Kama kuna hoja za kijinga mtu asilete bungeni inawezekana ni kwa ajili ya halima
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole / Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi ( 10 ) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 ( 2015 ) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko ( Moja ) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu ( siyo JamiiForums ) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Wakati mwingine hukopeshi !!

WaTz wengi hawaelewi majukumu ya mbunge . Lakini pia katiba yetu si nzuri . Viongozi wa kuchaguliwa na wananchi hukosa meno kwa viongozi wa kuteuliwa. Na hapo ndipo lawama za hovyo umrudia mbunge au diwani.
 
Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani? Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.
Jimbo likikosa maendeleo lawama zote ni kwa serikali.

Ccm ndio imeunda serikali na inapaswa kutekeleza ilani yake kikamilifu.

Mtaji wenu ni ujinga wa Watanzania kwa sababu wengi hawana tofauti na maiti hawaelewi lolote.
 
Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani? Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.
Wabunge tena backbenchers wanaletaJe maendeleo zaidi ya kuainisha matatizo ya Jimbo serikalini ?!. Na kazi hiyo Halima huifanya kwa ueledi bungeni. Lakini umemsikia Rais akiwa Kilwa na Bunda alivyokosa leadership .
 
Wabunge tena backbenchers wanaletaJe maendeleo zaidi ya kuainisha matatizo ya Jimbo serikalini ?!. Na kazi hiyo Halima huifanya kwa ueledi bungeni. Lakini umemsikia Rais akiwa Kilwa na Bunda alivyokosa leadership .
Kuwa mbunge backbencher haimanishi huwezi kupigania jimbo lako kupata maendeleo. Joseph Msukuma amekuta jimbo lake lipo nyuma sana. Kwa muda mfupi amelipigania na lina hatua kubwa tu. Halima amepoteza muda mwingi akifanya harakati za siasa kuliko kutumikia wananchi. Sasa kama mtu anauliza kafanya nini? Anatakiwa ajibiwe sio kuanza kumponda kisa alipata kura moko.
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole / Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi ( 10 ) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 ( 2015 ) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko ( Moja ) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu ( siyo JamiiForums ) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.

Yaani jamaa ni bonge la hanithi, yuko kwenye tasnia ya habari zaidi ya miaka 20, lakini tasnia hiyo ndio imezidi kuwa kibogoyo na hakuna lolote la maana kafanya zaidi ya kujipendekeza. Bora hata Balile kawapatanisha kinafiki cdm na TBC. Halafu dume zima linajifanya kuhoji Halima kafanya nini, utadhani aliwahi kumpa Halima hela yake ya maendeleo.
 
Kuwa mbunge backbencher haimanishi huwezi kupigania jimbo lako kupata maendeleo. Joseph Msukuma amekuta jimbo lake lipo nyuma sana. Kwa muda mfupi amelipigania na lina hatua kubwa tu. Halima amepoteza muda mwingi akifanya harakati za siasa kuliko kutumikia wananchi. Sasa kama mtu anauliza kafanya nini? Anatakiwa ajibiwe sio kuanza kumponda kisa alipata kura moko.
Nafikiri umewahi kumsikia Halima bungeni. Lakini pia umemsikia Rais akiwa Kilwa na Bunda. Hapo unamlaumu je mbunge ?!. Hebu kuwa serious
 
Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani? Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.

Alimpa Halima shilingi ngapi za maendeleo?
 
Nafikiri umewahi kumsikia Halima bungeni. Lakini pia umemsikia Rais akiwa Kilwa na Bunda. Hapo unamlaumu je mbunge ?!. Hebu kuwa serious
Nafikiri hata Esther Bulaya au Mbowe umeshawashuhudia wakikagua miradi inayotekelezwa na Ccm. Alichomaanisha JPM ni kuwa akipata mbunge wa Ccm kuna kuwa na urahisi wa kufanya nae kazi,maana kama ni mzembe inakuwa rahisi kumwajibisha kama mwenyekiti wa chama. Hayo mengine ni utani tu wa JPM.
 
Back
Top Bottom