RMK Freelance services
Member
- Jan 15, 2025
- 38
- 27
Habari,
Hii ni kwa ajili ya wadau waliopo mikoani (Nje ya Dar es Salaam) na wana shida ya kufika Dar es Salaam ili kutatua shida zao, Wanaweza kuokoa muda, gharama za malazi na usafiri, pamoja na usumbufu kwa kutuagiza sisi RMK Freelance services kushughulikia maswala yao
Huduma kama hii anaitoa Dodoma messengers kwa Dodoma, kwa Dar es Salam tuko hapa kukusaidia.
Epuka gharama za usafiri, muda pamoja na usumbufu kwa kutuagiza sisi tushughulikie majukumu yako hapa Dar.
Kisha utatupa kiasi kidogo cha malipo baada ya kufanikisha kazi uliyotupatia. Tunafanya kazi kwa uaminifu mkubwa ili kuridhisha wateja wetu.
Lakini pia tunatoa huduma hii hata kwa walipo Dar es Salaam lakini wako busy na shughuli nyingine hivyo kukosa muda wa ku-deal na maswala fulani.
Huduma zetu ni unlimited kumaanisha kuwa tunafanya kila shughuli (halali) kutokana na maelezo pamoja na maagizo ya muhusika.
Huduma zetu ni kama;
Wasiliana na sisi kupitia mawasiliano hapa chini.
RMK Freelance services;
Email : rmkfreelanceservices@gmail.com
Phone: +255737450640
Watsapp: +255737450640
Dar es Salaam, Ubungo.
Okoa muda, okoa gharama, epuka usumbufu kwa kutuagiza sisi Majukumu yako.
Ahsanteni na karibu kwa huduma.
Hii ni kwa ajili ya wadau waliopo mikoani (Nje ya Dar es Salaam) na wana shida ya kufika Dar es Salaam ili kutatua shida zao, Wanaweza kuokoa muda, gharama za malazi na usafiri, pamoja na usumbufu kwa kutuagiza sisi RMK Freelance services kushughulikia maswala yao
Huduma kama hii anaitoa Dodoma messengers kwa Dodoma, kwa Dar es Salam tuko hapa kukusaidia.
Epuka gharama za usafiri, muda pamoja na usumbufu kwa kutuagiza sisi tushughulikie majukumu yako hapa Dar.
Kisha utatupa kiasi kidogo cha malipo baada ya kufanikisha kazi uliyotupatia. Tunafanya kazi kwa uaminifu mkubwa ili kuridhisha wateja wetu.
Lakini pia tunatoa huduma hii hata kwa walipo Dar es Salaam lakini wako busy na shughuli nyingine hivyo kukosa muda wa ku-deal na maswala fulani.
Huduma zetu ni unlimited kumaanisha kuwa tunafanya kila shughuli (halali) kutokana na maelezo pamoja na maagizo ya muhusika.
Huduma zetu ni kama;
- Kusimamia Uagizaji wa mizigo mbali mbali kutoka Dar kwenda mikoani pomoja na na kuipokea
- Kupeleka Nyaraka (Documents) kwenye Maofisi mbali mbali.
- Kufatilia maswala yako binafsi kwenye Taasisi zote za binafsi, umma /serikali.
- Kufanya site visit
- Kufanya booking za vyumba na kufatilia sehemu za kufikia wageni(Guest house, hotels, and restaurants)
- Kufanya research juu ya bei ya bidhaa fulani na mahali zinakopatikana.
- Kupokea Wageni ambao wanaingia Dar es Salaam mara ya kwanza na hawana wenyeji hapa.
- Kukutana na watu mbali mbali
- Kutafuta venue kwa ajili ya events
- Huduma ya kukusaidia kupata Vyumba na Nyumba
- Kukagua miradi
Wasiliana na sisi kupitia mawasiliano hapa chini.
RMK Freelance services;
Email : rmkfreelanceservices@gmail.com
Phone: +255737450640
Watsapp: +255737450640
Dar es Salaam, Ubungo.
Okoa muda, okoa gharama, epuka usumbufu kwa kutuagiza sisi Majukumu yako.
Ahsanteni na karibu kwa huduma.