Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Zimeshakamatwa na kuachiwa Mara ya ngapi hadi sasa na hamna kithibitisho mara zote hizo, makondoo mshafeli sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona kitu kimekamatwa kwa kudaiwa kisha kikaachiwa pigia jibu mstari. Usingoje ushahidi kwa hao wasaka sifa maana wao kulipa baada ya kufanya ubabe wa kishamba ni aibu, hivyo lazima wapige kimya, habari ndio hiyo. Kama ww unaongoja ushahidi kwa hao wasaka sifa utasubiri sana. Hilo la kwamba sisi ni makondoo hasa nyie mashahidi wa mungu wa Tanzania halihitaji mjadala wa kitaifa.