Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji112]
Mpotoshaji namba moja ni weye tena weye ni hatari sana. Unasemaje kuwa nimepotosha habari wakati ni andiko la kweli na ndiyo habari ya mujini kuwa Wale wana nec wote wa Darisalama wamepewa offer na m/kiti wao kuwa wapande bure bureeeee kabisa dege letu jipya kutoka Canada toka Mza hadi JINA bila hata passport. Id pekee ni shati la kijani?? Nasema, We ni mpuuuziii sana. Tena mpotoshaji mkubwa.
Ati iko kwenye majaribio. Unafanyia roho za watu majaribio?? Kwa nini wasipakie Sangara humo kuona ka inauwezo wa kubeba mizigo na sio watu?? Yaani ikianguka na hao wajumbe mtasema ni haki yao??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mkulima wa ndege ametisha, wenzake wanalima matikiti yeye analima ndege. Ukijipendekeza tu kuigusa ndege yake au kupiga selfie anakudai fidia siyo ya dunia hii.
 
Kama gharama au bei ya kilo ya nyama ya mbuzi kule ni sawa na nusu nauli ya mtu why tusizitumie vyema ndege hizi?? Mwanzoni mtashangaa lakini zikianza kurudi na watalii ndo mtaelewa nia nzuri ya serekali
ndiyo maana nimesisitiza ndege zipeleke nyama ya mbuzi Dubai.
 
Nchi hii itasonga mbele kwa gharama yoyote. Wanaoitakia mabaya ili ikwame watakwama wao. Wengine wamekwamia Ubeleji kwa aibu!

acha kuwa na kichwa cha panzi...hakuna anaeitakia mabaya hii n-nji

tupo zaidi ya million 50, sasa mtu mmoja hawezijiaminisha ana akili kuliko ivyo vichwa 50million, akiligundua hilo mambo yatakua sasa
 
acha kuwa na kichwa cha panzi...hakuna anaeitakia mabaya hii n-nji

tupo zaidi ya million 50, sasa mtu mmoja hawezijiaminisha ana akili kuliko ivyo vichwa 50million, akiligundua hilo mambo yatakua sasa
Chadema kinadai kina wanachama milioni sita na wafuasi milioni saba, lakini wote hao wasema tena kwa kujiamini kuwa chama chao hakiwezi kusimama bila akili ya "mtu mmoja". Hiyo unaisemaje Mkuu??
 
Habari za weekend?

Nina info za uhakika kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika kabisa kabisa kwamba Mkulima kamalizwa na malipo yalikamilishwa Jumanne iliyopita, na ni madai yake yote na safari hii pia tutarajie hata safari za South Africa kuanza muda wowote kuanzia sasa.

Cha kushangaza kidogo Pesa zilizolipwa kwa Mzungu zimekuwa deducted kutoka kwenye pesa za matumizi ya Rais au Ofisi ya Rais. Na hii ni ili ukaguzi usiwepo kabisa, hivyo hizi pesa hazitakaa zikaguliwe kokote kule na hapo hazina wana jukumu sasa la kupeleka cash zingine kwenye matumizi ya Ikulu.

Jamaa kaniambia kwenye makubaliano ni kwamba Mkulima asiongelee chochote kile na hili sharti pia lina gharama zake maana yake kuna pesa na za ziada kapewa ambazo in hisiwa ni za kumnyamazisha kwenye socia media. Hivyo basi hamtakaa msikie mzungu akiongea chochote kuhusu ndege ila kamamalizwa kabisa.

Tunashukuru Serikali kwa kumalizana naye.

Na kwa sasa ndege zetu zitakuwa huru kufanya safari kokote kule duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Potelea mbali isikaguliwe ili mradi tumekata mzizi wa fitna, kaburu alikuwa anatudhalilisha na kuliharibia jina shirika letu la ndege. Hongera Serikali sikivu, dawa ya deni ni kulipa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni kweli tumelipa, Immmma, Tundu Lisu& Co. hawakujui na wala hawatakupa hata shilingi, wenzako hela ya uwakili wameingiziwa kwenye akaunti na Muzungu wewe takataka unabakia kupiga mihayo ya ushabiki hapa JF.

Low IQ individual!
Wewe rudi tu kwenu Burundi, wahutu mnatuharibia nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema kinadai kina wanachama milioni sita na wafuasi milioni saba, lakini wote hao wasema tena kwa kujiamini kuwa chama chao hakiwezi kusimama bila akili ya "mtu mmoja". Hiyo unaisemaje Mkuu??
Hayo mlikuwa mnaambizana wakati mnakuna nazi bila shaka
tapatalk_1569822541986.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana. Kwangu mimi haina tofauti maana waliofanya kosa hilo wanajulikana na siyo Magufuli. Ikaguliwe isikaguliwe, haina sense yoyote maana kuna safari nchi hii zilitumia pesa mabayo hadi leo haijulikani ni kiasi gani maana nasikia watu walitembea na mabegi ya dola.
Pamoja na kutembea na mabegi ya dola, bado hawajafikia 1.5T... hizo 1.5T hatujui ziliko
 
Hata kama ni kweli tumelipa, Immmma, Tundu Lisu& Co. hawakujui na wala hawatakupa hata shilingi, wenzako hela ya uwakili wameingiziwa kwenye akaunti na Muzungu wewe takataka unabakia kupiga mihayo ya ushabiki hapa JF.

Low IQ individual!
Dawa ya deni ni kulipa... kama akina Lisu walifanya kazi ya uwakili na wakalipwa chao sioni tatizo....
 
Huyo mzungu alikuwa analipwa na marais wote waliopita hata kama deni halikuisha. Alipoingia magu kama kawaida yake ya kutumia mabavu kwenye haki za watu, akagoma kumlipa huyo mzungu, bila kujua huyo mzungu sio sisi makondoo wa hapa tunaomuachia Mungu. Huyo mzungu kaenda kwenye nchi ambazo sheria ziko juu ya viongozi wa nchi mpaka kapata haki yake. Laiti huyo mzungu angeendelea kudai haki yake kwenye mahakama za hapa nyumbani tena akiwa hapa, asingepata haki yake maana mahakama haziko huru, na si ajabu watu wasiojulikana wangekuwa wameshaagizwa wamfanyie ya Lissu.
Kondoo mwenyewe, umejuaje aligoma kulipa, na kwa sababu gani hakulipwa, na kwann walopita hawakumalizia. Wewe ni hater tu hunaga jema lolote lile.
Haya weka kithibitisho amelipwa. As if utapata hata sumni angelipwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika kapata haki yake? Au unatamani Iwe hivyo? Unajua alikua analipwaje huko nyuma mpaka sasa hivi Magu akaamua kusitisha malipo ya huyo mzungu? Usipende kuropoka vitu usivyovijua kisa tu upo kwenye keyboard hakuna mtu anaekujua.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Hawa hujikuta wanajua kila kitu kumbe in reality ni zero

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia hii yaani mtu mmoja kalitingisha taifa zima la Tanzania.

Huyo ilibidi aje apewe kipande cha ardhi aje awekeze mpaka pale atakapokamilosha dai lake tungemwita kiurafiki na kurudi kuendelea na uwekezaji wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kondoo mwenyewe, umejuaje aligoma kulipa, na kwa sababu gani hakulipwa, na kwann walopita hawakumalizia. Wewe ni hater tu hunaga jema lolote lile.
Haya weka kithibitisho amelipwa. As if utapata hata sumni angelipwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi ni makondoo tena makondoo wajinga, hilo halina mjadala. Jiwe aligoma kulipa maana huamini kila mtu ni kondoo hivyo anaweza kumkomoa. Hao wengine hawakumaliza lakini walijitahidi kulipa. Kithibitisho kuwa kalipwa na hiyo ndege yenu kuachiwa.
 
Sisi ni makondoo tena makondoo wajinga, hilo halina mjadala. Jiwe aligoma kulipa maana huamini kila mtu ni kondoo hivyo anaweza kumkomoa. Hao wengine hawakumaliza lakini walijitahidi kulipa. Kithibitisho kuwa kalipwa na hiyo ndege yenu kuachiwa.
Zimeshakamatwa na kuachiwa Mara ya ngapi hadi sasa na hamna kithibitisho mara zote hizo, makondoo mshafeli sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom