Zimeshakamatwa na kuachiwa Mara ya ngapi hadi sasa na hamna kithibitisho mara zote hizo, makondoo mshafeli sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakaza we mzee sasa, hizi lugha za UKATIWE waachie hawa wadogo zetu humu JF.Ni aibu kutokulipa madeni ya wazi kama hayo. Ni sawa na wewe Barbarosa uwe unatumia maji au umeme halafu HULIPI MPAKA UKATIWE!
Sio tabia nzuri, au ndivyo ulivyo binafsi? Kwamba hulipi mpaka ukatiwe huduma hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenisoma tofauti kabisa! Kwani we umeelewaje mzee mwenzangu? Mbona Tanesco kuna wakati walikuwa na tangazo hilo redioni likisisitiza kulipa malimbikizo ya madeni ya umeme (kabla ya LUKU) nakusema "ndugu mteja, kwa nini hulipi madeni yako ya Ankara za umeme mpaka ukatiwe?" Na sikusikia malalamiko hadi Leo hii ndio nakusikia mzee mwenzangu Phillipo?Chakaza we mzee sasa, hizi lugha za UKATIWE waachie hawa wadogo zetu humu JF.
Lakini watu wake ni masikini na ambao wanakula mlo mmoja kwa siku. Forget about maisha ya mjini ambayo angalau tunabangaiza, think about wale wa kijijjini ambao hawana maji ya bomba, umeme, huduma za afya kilometa kadha(mbali), shule kilometa kadhaa na pengine ina mwalimu mmoja nk
Ndege ziwe zinapeleka mbuzi Dubai halafu zirudi na watalii ambao wakimaliza shughuli zao hapa warudi kwao na mbuzi wengine eti ndo biashara! Kweli ukiwa CCM unakuwa huna akili na unakuwa huna akili zaidi ukiwa pia Msukuma. Kwa kuwa wsmezoea kusafiri kwenye mabasi ya Musukuma pamoja na mbuzi, wanapanga kuunganisha safari na watalii ili ndege zijae zilete faida.Kama gharama au bei ya kilo ya nyama ya mbuzi kule ni sawa na nusu nauli ya mtu why tusizitumie vyema ndege hizi?? Mwanzoni mtashangaa lakini zikianza kurudi na watalii ndo mtaelewa nia nzuri ya serekali
Alikuwa akilipwa kidogo kidogo mpaka huyu akaja kusitisha ghafla wakati akijua ni haki yake. Sio wote wajinga humuYawezekana. Kwangu mimi haina tofauti maana waliofanya kosa hilo wanajulikana na siyo Magufuli. Ikaguliwe isikaguliwe, haina sense yoyote maana kuna safari nchi hii zilitumia pesa mabayo hadi leo haijulikani ni kiasi gani maana nasikia watu walitembea na mabegi ya dola.
Mkuu, usipate hasira bure. Magu ndialiyetufikisha hapa kwa sababu ni yeye aliyezuia malipo kidogo kidogo yaliyokuwa yakifanywa na watangulizi wake. Kama hata fact hii unaikataa - unakosa haki ya kujadili vitu objectively and factually. Kwa maelezo ya wakubwa ni kuwa hata balozi wa Canada aliitwa (ilikuwa ni diplomatic mistake). Wenzetu wanaheshimu mahakama - balozi au Canada wasingeweza kutia ushawishi mahakamani. Kama serikali ilituma "timu" kwenda kuokoa ndege, angalau basi iseme "timu" ilifanikiwa. Huwezi kuomba uthibitisho kutoka kwa mtu binafsi. Kama raia unaweza kuomba uthibitisho kutoka kwa serikali. Play your part!!Halina mjadala pasipo kithibitisho? Au ni sababu ndio habari unayoipenda, as if ni makosa ya magu kumdhulumu huyo mzungu, haters mbona mtateseka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia baada ya kupata hizo hela mzungu anatafuta mke wa pili. Vipi tukuunganishe nae?
Sent using Jamii Forums mobile app
What's is your suggestion? Badala ya kulaumu waliolipa kidogo kidogo miaka yote hiyo, unamulaumu aliyelipa na kuachana naye. Imefikia hatua tunapakuwa hasira zitokanazo na matatizo mengine tunaziweka kwa lolote lililoko mbele yetu. Hakuna uhusiano wowote wa kulipwa kwa miaka yote ya nyuma awamu 4 halafu iwe vibaya kulipwa deni lote. Halafu sasa liwe jambo la kuzomea!Huyo mzungu alikuwa analipwa na marais wote waliopita hata kama deni halikuisha. Alipoingia magu kama kawaida yake ya kutumia mabavu kwenye haki za watu, akagoma kumlipa huyo mzungu, bila kujua huyo mzungu sio sisi makondoo wa hapa tunaomuachia Mungu. Huyo mzungu kaenda kwenye nchi ambazo sheria ziko juu ya viongozi wa nchi mpaka kapata haki yake. Laiti huyo mzungu angeendelea kudai haki yake kwenye mahakama za hapa nyumbani tena akiwa hapa, asingepata haki yake maana mahakama haziko huru, na si ajabu watu wasiojulikana wangekuwa wameshaagizwa wamfanyie ya Lissu.
What's is your suggestion? Badala ya kulaumu waliolipa kidogo kidogo miaka yote hiyo, unamulaumu aliyelipa na kuachana naye. Imefikia hatua tunapakuwa hasira zitokanazo na matatizo mengine tunaziweka kwa lolote lililoko mbele yetu. Hakuna uhusiano wowote wa kulipwa kwa miaka yote ya nyuma awamu 4 halafu iwe vibaya kulipwa deni lote. Halafu sasa liwe jambo la kuzomea!
Mbona makosa ya tawala za nyuma hapa munafumba macho na kujifanya hamjui? Tulikuwa na rais aliyeshindwa hata kujua kwamba katiba haipatikani kwa mijadala ya matusi bungeni! Mabilioni yakaliwa bureee!
Eti pigia mstari, we jamaa bhana,[emoji16].Ukiona kitu kimekamatwa kwa kudaiwa kisha kikaachiwa pigia jibu mstari. Usingoje ushahidi kwa hao wasaka sifa maana wao kulipa baada ya kufanya ubabe wa kishamba ni aibu, hivyo lazima wapige kimya, habari ndio hiyo. Kama ww unaongoja ushahidi kwa hao wasaka sifa utasubiri sana. Hilo la kwamba sisi ni makondoo hasa nyie mashahidi wa mungu wa Tanzania halihitaji mjadala wa kitaifa.
We zarau tu ila yakianza kunoga utakuja ukichekeleaNdege ziwe zinapeleka mbuzi Dubai halafu zirudi na watalii ambao wakimaliza shughuli zao hapa warudi kwao na mbuzi wengine eti ndo biashara! Kweli ukiwa CCM unakuwa huna akili na unakuwa huna akili zaidi ukiwa pia Msukuma. Kwa kuwa wsmezoea kusafiri kwenye mabasi ya Musukuma pamoja na mbuzi, wanapanga kuunganisha safari na watalii ili ndege zijae zilete faida.
Hahaha, dah unajua kutunga story, watanzania ni noma,. Umeona hamna majibu ya serikali umeona uje kivyakoHabari za weekend?
Nina info za uhakika kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika kabisa kabisa kwamba Mkulima kamalizwa na malipo yalikamilishwa Jumanne iliyopita, na ni madai yake yote na safari hii pia tutarajie hata safari za South Africa kuanza muda wowote kuanzia sasa.
Cha kushangaza kidogo Pesa zilizolipwa kwa Mzungu zimekuwa deducted kutoka kwenye pesa za matumizi ya Rais au Ofisi ya Rais. Na hii ni ili ukaguzi usiwepo kabisa, hivyo hizi pesa hazitakaa zikaguliwe kokote kule na hapo hazina wana jukumu sasa la kupeleka cash zingine kwenye matumizi ya Ikulu.
Jamaa kaniambia kwenye makubaliano ni kwamba Mkulima asiongelee chochote kile na hili sharti pia lina gharama zake maana yake kuna pesa na za ziada kapewa ambazo in hisiwa ni za kumnyamazisha kwenye socia media. Hivyo basi hamtakaa msikie mzungu akiongea chochote kuhusu ndege ila kamamalizwa kabisa.
Tunashukuru Serikali kwa kumalizana naye.
Na kwa sasa ndege zetu zitakuwa huru kufanya safari kokote kule duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app