Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AamenImani tofauti na kiitikadi pia. Wengine kuomboleza muda mrefu ni kumtesa marehemu.
Wengine tutaomboleza tukijpanga.
Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka
Tulimpenda marehemu hasa kama angalikubali kuwa mpanga mikakati mwaminifu wetu.
Zaidi sana tukizingatia adui kIndaki ndaki wa adui yetu kwa wakati husika ni rafiki yetu chanda na pete!
Hivi diwani pale uyovu ni chadema etiHakuna KATIBA MPYA hakuna Uchafuzi.
Subiri hapo hapo!Unatetea Uchafuzi? huoni aibu?
Alishatenguliwa kibabe, lakini sasa tunapanga safu upya ili tulaukomboe Mgodi wa unaopigwa sana wa Tukawaka STAMICO.Hivi diwani pale uyovu ni chadema eti
Mkuu denooJ Kwanza tambua fika Yale hayakuwa maridhiano ..Naona Chadema kwa sasa sio tena sehemu sahihi kwake, kwani kuendelea kubaki Chadema na kuvunja taratibu kwa kusema mambo kinyume na msimamo wa chama, hata kama yanapendwa kusikiwa na wengi, ni mkaidi, anayestahili adhabu, bitter truth.
Huijui chadema wewe, subiri kina Molemo wakushukie.
Huijui chadema wewe, subiri kina Molemo wakushukie.
Huenda keshawaambia sana wenzie vikaoni kuwa ubunge na udiwani bila katiba mpya unanufaisha zaidi watu binafsi kuliko Chama na Taifa kiujumla.Sidhani kama Chadema bado wana huo msimamo wa bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi mkuu, wanavyoonekana kwa sasa majority wanaviwaza viti vya ubunge zaidi ya chochote kingine.
Hii ndio sababu iliyomsukuma Lissu kuwakumbusha wenzie bila KM hakuna uchaguzi mkuu, bahati mbaya kwangu ameenda kuwakumbushia kwenye jukwaa tofauti, sijui ni kitu gani kilichomfanya asiwatazame usoni awaambie straight wakiwa vikaoni.
Hapa ni either Lissu ameshakata tamaa amewaona wenzake ni watu wasio tayari kubadilika, kama hajawaambia basi ameamua kujikweza na kujiweka juu ya wenzie, au vyovyote vingine.
Muhimu kwa sasa kama Chadema bado wapo kwenye maridhiano, huku Lissu hayataki, na ikiwa ameshindwa kuvumilia au kuwaambia wenzake vikaoni, na kukaa kimya hawezi..
Naona Chadema kwa sasa sio tena sehemu sahihi kwake, kwani kuendelea kubaki Chadema na kuvunja taratibu kwa kusema mambo kinyume na msimamo wa chama, hata kama yanapendwa kusikiwa na wengi, ni mkaidi, anayestahili adhabu, bitter truth.
Ooh! Muda utaongea.Anashukiwa je mtu mwenye options zote mezani? Hayo kwa kina Mbatia huko.
.Baada Chacha Wangwe,Zito na Slaa inaweza kuwa zamu ya Lisu kuwa "msaliti" ndani ya Chama.
Mkuu denooJ Kwanza tambua fika Yale hayakuwa maridhiano ..
Hakuna maridhiano yanayofanywa kwa uficho Kati ya wenyeviti wawili ,Lisu alishaona kilichofanywa ni kukata kiu ya watu binafsi ndio maana Lisu humuoni akiunga mkono popote .
Muda utasema Tu stay tuned
- Ukisema huenda keshawaambia wenzie ndani ya chama hapo unaonesha hauna hakika na ulichoandika, na kama uhakika haupo, basi tukubaliane lawama asitupiwe yeyote.Huenda keshawaambia sana wenzie vikaoni kuwa ubunge na udiwani bila katiba mpya unanufaisha zaidi watu binafsi kuliko Chama na Taifa kiujumla.
Kwa sasa anachokiongea Lissu ni msiamamo rasmi wa kamati kuu ya chama ambao haujabadilishwa na kikao kingine cha kamati kuwa BILA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI CHAMA HAKITASHIRIKI UCHAGUZI WA 2025.
Sasa hao wengine wanotaka ubunge na udiwani ndo wana jukumu la kuwaambia watu, kwa nini badala ya kutangaza kushiriki uchaguzi wa 2025, kwa nini meseji yao kuu isiwe kusimamia maamuzi ya kamati kuu ya kutoshiriki uchaguzi huo mpaka katiba mpya ipatikane?
Lissu anaunga mkono maridhiano ya kweli haungi mkono "ushosti na danganya toto" katika maridhiano.- Ukisema huenda keshawaambia wenzie ndani ya chama hapo unaonesha hauna hakika na ulichoandika, na kama uhakika haupo basi tukubaliane lawama asitupiwe yeyote.
- Anachokiongea Lissu kuhusu KM sina tatizo nacho, tatizo langu kwake ni yeye kuyapinga maridhiano ambayo chama chake bado kinashiriki, hiyo inaonesha huyu jamaa hayupo pamoja na wenzake.
- Kwanini unawataka hao wengine wakawaambie watu badala ya kwenda kusema hoja zao mbele ya Kamati Kuu? hii biashara itazidi kukivuruga chama, inaonesha vile hawa viongozi wa Chadema wameshindwana kwenye vikao, nataka warudi vikaoni wakazungumze concern zao huko, wakitoka wawe kitu kimoja, sio kila mtu na lake kama watoto wadogo.
Vyama vitakuwa 38 uchaguzi upo!
Katiba mpya italeta zaidi ya Ugali mezani amesikika Tundu Lissu leo Runzewe.