Amekuwa wazi mwana halisi wa nchi hii, Rais wa mioyo ya wengi - Tundu Antipas Lissu:
Lissu: Maridhiano pekee ni Katiba
Hizi ndiyo kauli za watu sasa tulizokuwa tumezikosa mno.
Tumesema sana na tuko tayari.
Nisiwachoshe na wala tusichoshane:
Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?
Kwamba:
Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine
Tundu Antipas Lissu, ulipo tupo:
1. Uchaguzi huru, wazi na haki ndani ya CDM ndiyo njia ya kwenda.
2. Kama #1 hapo juu haiwezekani hata FORD ilizaa FORD Kenya na Ford Asili. Jahazi likasonga.
Aluta Continua!