Tunasimama na Lissu, alipo tupo

Komaeni sana maana DJ kazima mziki nasi tuko pamoja nanyi CDM asilia sio hii ya akina Sugu
 
Komaeni sana maana DJ kazima mziki nasi tuko pamoja nanyi CDM asilia sio hii ya akina Sugu
Lisu kutakuwa na mchezo kaushtukia. Huyu mangi kwenye mambo yanayohusiana na pesa sio kabisa.😆😆
 
Tatizo mnampenda sana Lissu mpaka mnaanza kumrekebishia makosa yake.

Hiyo paragraph yako ya pili umeandika kinyume kabisa na msimamo wa Lissu, mtu anayepinga mambo mengi kwenye maridhiano iweje ayatake?!
 

Ninasimama na Lissi
 
Tatizo mnampenda sana Lissu mpaka mnaanza kumrekebishia makosa yake.

Hiyo paragraph yako ya pili umeandika kinyume kabisa na msimamo wa Lissu, mtu anayepinga mambo mengi kwenye maridhiano iweje ayatake?!

Mkuu Lissu hapendwi kwa uzuri wa uso wake. Lissu anapendwa kwa ubora, mashiko, uthabiti, dhamira nk ya hoja zake. Huyu ndiyo wale viongozi ambao wakituita tutamwagika barabarani.

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Lissu anabeba uelekeo tunaoutaka. Kama Lissu angeyapinga haya:

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Tungemvaa kama yeyote ayapingaye.

Kama johnthebaptist, Pascal Mayalla , Tulia, Kibajaji, Nape, Wassira, Samia au hata shetani wakiliunga mkono hili la katiba mpya kabla ya uchaguzi tutawaunga na kumpinga Lissu kama atachagua kulipinga.

Kwani mnatuona je?

Habari ndiyo hiyo.
 
Zawadini ng'ambo za kule Zenji bar, denooJ pande za bara kule tuwaandae watu. Gari Moshi ndilo hilo ling'oa nanga.

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Mawili hayo yanakwenda pamoja.

Tutaelewana tu.
Asante Mkuu. Hili la katiba nasikiasikia eti lina mwelekeo ila hofu na wasiwasi wangu ni kuipata ile tuitakayo. Nadhani bado una kumbukumbu ya yaliyotokea kwa ile ya Warioba. Mimi bado ninayo nakala yake hivyo nasubiri ili nilinganishe.

Hili la CHADEMA, nina hamu ya kuiona hii na wala si nyingine ili tuelewane. Kinachonitia wasiwasi ni uwezo wa kuhimili vishindo vya nje na ndani ili kufikia hilo lengo. Bado nakumbuka namna ilivyopata mitihani kutokanje, na huenda hiyo mitihani ilisababishwa na ushawishi/vishindo vya nje. Tujitayarishe ktk hili.
 
Arudi makao makuu ya chama kwanza akapate dondoo za Nini akiongee na nn Ni mkakati wa chama chake. Anatupotosha sana
 

Kabeni Zenji bar tunakaba bara. Agenda yetu moja katiba mpya kwanza. Chadema yenye katiba mpya kama kipaumbele ndiyo tunayoitambua. Siyo nyingine:

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…