Tunasubiri 16.2.2024, Kero umeme kuisha, stiglers inawashwa

Tunasubiri 16.2.2024, Kero umeme kuisha, stiglers inawashwa

Ahadi nyingi zipo kiswahili Swahili ndio maana watu wamepoteza imani .
Angekuwa Magu tayari alishakata umeme kwa waziri na manager mhusika, na kusema na wewe uonje adhaa ya kutokuwa na umeme.
 

Hata kama umeme utafunguliwa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerer litafanya kazi kukatika kw aumem bado kuta endelea kwa Sababu Tanesko wanakula sahani moja na wauza Majenereta
 
Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati wakimuaga ndugu Lowasa.

Serikali ya CCM ilituahidi kuwa kero ya umeme itaisha kuanzia tarehe 16-02-2024 ''YAANI KESHO'' ambapo tunatarajia mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji stiglers HEP au nyerere hydropower kuwashwa. na tunagemea ikishawashwa basi kero ya kukatika umeme itaisha, licha ya kuambiwa kuwa gesi yetu ya mtwara imepungua sasa sijui ndo inaisha.

kwahiyo hatutakubali kauli yoyote kutoka kwa serikali kuhusu kuwasha stiglers, maana sioni shamra shamra zozote zinazoendelea kuelekea kwenye tukio hilo muhimu. kumukuwa kimya, au ni dalili ya kusema kuwa tuna msiba na umeme wa bwawa la stiglers tutawasha april.
Una uhakika usemayo siyo utani wa "April fool's day"?!
😂😂😂😂😂
 
Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati wakimuaga ndugu Lowasa.

Serikali ya CCM ilituahidi kuwa kero ya umeme itaisha kuanzia tarehe 16-02-2024 ''YAANI KESHO'' ambapo tunatarajia mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji stiglers HEP au nyerere hydropower kuwashwa. na tunagemea ikishawashwa basi kero ya kukatika umeme itaisha, licha ya kuambiwa kuwa gesi yetu ya mtwara imepungua sasa sijui ndo inaisha.

kwahiyo hatutakubali kauli yoyote kutoka kwa serikali kuhusu kuwasha stiglers, maana sioni shamra shamra zozote zinazoendelea kuelekea kwenye tukio hilo muhimu. kumukuwa kimya, au ni dalili ya kusema kuwa tuna msiba na umeme wa bwawa la stiglers tutawasha april.
Labda June pengine!
 
Dude limejaa matope kabla hata kazi haijaanza, huko ni mauzauza tu. Angekuwepo JPM watu wangepigwa risasi aisee.
TANESCO mnasikia lakini angekuepo mngechezea ngumi km yule aliejichanganya kwenye msafara wa EL
 
Back
Top Bottom