Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Tatizo la Umeme ni kero kubwa sana sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo mawili hapo,Mtaanin kwetu Leo siku ya tatu haujakatika 🤚🤣🤣🤣🤣🤣
Siutaji ng'o ila ni Dar
Hapa Tayar wamekata washenz sana hawa watu TANESCOKuna mambo mawili hapo,
Either hiyo line ina tatizo wapigieni TANESCO au kuna Kigogo wa TANESCO kahamia line hiyo.
Angekuwa Magu tayari alishakata umeme kwa waziri na manager mhusika, na kusema na wewe uonje adhaa ya kutokuwa na umeme.Ahadi nyingi zipo kiswahili Swahili ndio maana watu wamepoteza imani .
Una uhakika usemayo siyo utani wa "April fool's day"?!Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati wakimuaga ndugu Lowasa.
Serikali ya CCM ilituahidi kuwa kero ya umeme itaisha kuanzia tarehe 16-02-2024 ''YAANI KESHO'' ambapo tunatarajia mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji stiglers HEP au nyerere hydropower kuwashwa. na tunagemea ikishawashwa basi kero ya kukatika umeme itaisha, licha ya kuambiwa kuwa gesi yetu ya mtwara imepungua sasa sijui ndo inaisha.
kwahiyo hatutakubali kauli yoyote kutoka kwa serikali kuhusu kuwasha stiglers, maana sioni shamra shamra zozote zinazoendelea kuelekea kwenye tukio hilo muhimu. kumukuwa kimya, au ni dalili ya kusema kuwa tuna msiba na umeme wa bwawa la stiglers tutawasha april.
Labda June pengine!Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati wakimuaga ndugu Lowasa.
Serikali ya CCM ilituahidi kuwa kero ya umeme itaisha kuanzia tarehe 16-02-2024 ''YAANI KESHO'' ambapo tunatarajia mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji stiglers HEP au nyerere hydropower kuwashwa. na tunagemea ikishawashwa basi kero ya kukatika umeme itaisha, licha ya kuambiwa kuwa gesi yetu ya mtwara imepungua sasa sijui ndo inaisha.
kwahiyo hatutakubali kauli yoyote kutoka kwa serikali kuhusu kuwasha stiglers, maana sioni shamra shamra zozote zinazoendelea kuelekea kwenye tukio hilo muhimu. kumukuwa kimya, au ni dalili ya kusema kuwa tuna msiba na umeme wa bwawa la stiglers tutawasha april.
Gesi imeisha imepelekwa wapi?licha ya kuambiwa kuwa gesi yetu ya mtwara imepungua sasa sijui ndo inaisha.