Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Bwana Lissu almaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

View: https://www.instagram.com/p/DFIFCE1Cxfq/?igsh=MWJ0eGpvYmE5cGxzMw==
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu .Waweza soma zaidi hapa Pre GE2025 - LGE2024 - Tundu Lissu: CHADEMA tutazuia Uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakutakuwa na mabadiliko kimfumo

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Pia soma zaidi hapa Viongozi Wapya wa Chadema Mtakaochaguliwa Tunawasihi Msusie Uchaguzi Muone kama Nchi Itasimama Kisa Kususa kwenu.

View: https://www.instagram.com/p/DFMpLBci7O1/?igsh=MXhqd2V3eHBuNXQxYQ==
 
 
Mmeumbuka wapambe wa Mbowe.
Mlijua atakuwa mwenyekiti wa kudumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…