Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya hakitakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Wewe kuna mahali unashida sema hujui tu. Yaani ulimpa kura mtu ambaye unamwita kibaraka. Kweli ccm ina wajinga wengi sana
 
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya hakitakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Punguza kamdomo, kamdom, kamdomo mkuu
 
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya hakitakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Naam
 
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya hakitakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Hawezi kushinda Lissu , wapiga kura hawapo mitandaoni
 
Bunge linavunjwa mwezi wa saba, hakuna muda wa kubadili katiba katika kipengele cha uchaguzi.

Sasa tuone kama watagoma kushiriki, ni haki yao, ila wasiingilie haki ya wengine kupiga kura
Unaugulia maumivu ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom