Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
😅😅😅 Mtoto aliutakaaa.. akapelekewe pipe la moto wa nyukiliaKo mli mgongea na si mayai😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 Mtoto aliutakaaa.. akapelekewe pipe la moto wa nyukiliaKo mli mgongea na si mayai😂🤣
Mimi siwezi kula demu ambae najua Fulani anae labda nisijue hapo sawa.Kweli mkuu madesa nimechanganyaaa mkuu 😅😅
Wajumbe wameingizwa Cha kike 😆😆Uchaguzi tutashiriki na katiba hii hii, CCM ikishatoka tutaibadirisha iendane na Matakwa ya wananchi lakini tutahakikisha vipengere vinavyosiginwa vyote vinafuatwa.
Tutaondoa kile kipengele chakutoshitaki wastaafu, ili tuwaburuze wote mahakamani kujibu fyongo zote walizofanya wakiwa viongozi.
Mmezoea kula damu ndio maana mnataka muanze kutafuta sababu za kuumiza watu, uchaguzi huu utasimamiwa na wananchi wenyewe, tutakesha makanisani na misikitini kuwalaani woote wenye nia ovu.
Wajumbe wameingizwa Cha kike 😆😆
Uongo leta namba na picha nione,Nilishazifutaga 🤣🤣🤣
Chapa Iale sie wengine
Mwasi Kitoko uoga wa nini mnajua 1v1 hamtoboi ndio mnatengeneza figisu figisu km kawaida yenu ya kupitishana uongozi, kuvunja katiba ya chama na kuja na azimio la mchongoBunge linavunjwa mwezi wa saba, hakuna muda wa kubadili katiba katika kipengele cha uchaguzi.
Sasa tuone kama watagoma kushiriki, ni haki yao, ila wasiingilie haki ya wengine kupiga kura
Katika wanasiasa waongo kwa sasa Tanzania Lisu anaongozaBunge linavunjwa mwezi wa saba, hakuna muda wa kubadili katiba katika kipengele cha uchaguzi.
Sasa tuone kama watagoma kushiriki, ni haki yao, ila wasiingilie haki ya wengine kupiga kura
Wale hawakuingizwa Chaka wao walienda kutengeneza azimio la Kupitisha wagombea wao.Kama wale tu walioingizwa chaka Dodoma na kuishia kupiga kura ya ndioooo.
Kuna chama Cha kuzuia CCM isitoboe kweli hapa Bongo? Sema mtaleta amsha amsha tuu nothing elseMwasi Kitoko uoga wa nini mnajua 1v1 hamtoboi ndio mnatengeneza figisu figisu km kawaida yenu ya kupitishana uongozi, kuvunja katiba ya chama na kuja na azimio la mchongo
Azimio la kuwapitisha kwa kutumia katiba ya chama gani?Wale hawakuingizwa Chaka wao walienda kutengeneza azimio la Kupitisha wagombea wao.
Elewa maana ya 1v1 mzee usije ukasema wachawi wote wameshakufa maana hamchelewi kukimbilia wachawiKuna chama Cha kuzuia CCM isitoboe kweli hapa Bongo? Sema mtaleta amsha amsha tuu nothing else
😅😅😅😅 Mkuu si nimechanganya madesa .. nimekubali.. yaishie hapo .. kalikuwa kademu flani Tabora kwenye project ya REA kuleMimi siwezi kula demu ambae najua Fulani anae labda nisijue hapo sawa.
Kwa hiyo Yuko wapi Kwa Sasa huyo demu wenu Ili niunge dot.
Mimi alichonisikitisha ni kuchafua Mbowe na Rais na watu wakamuamini ili apite.Katika wanasiasa waongo kwa sasa Tanzania Lisu anaongoza
Atabadili gia angani
Wale hawakuingizwa Chaka wao walienda kutengeneza azimio la Kupitisha wagombea wao.
Nimewahi kuwa na demu huko ila ni mda ndio nataka nijue maana Kwa Sasa Yuko Dar japo Sina mawasiliano nae.😅😅😅😅 Mkuu si nimechanganya madesa .. nimekubali.. yaishie hapo .. kalikuwa kademu flani Tabora kwenye project ya REA kule
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
CCMAzimio la kuwapitisha kwa kutumia katiba ya chama gani?
Mbona wewe unawachukia CCM? Kunakupa nafuu ya maisha?Hangaika na maisha yako. Hujampigia kura Lissu, hata kadi huna. Kumchukia mtu hakukupi nafuu ya maisha.