Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Usitulishe mameno tunao utaratibu wetu kichama.
 
Wewe nyumbu huna hoja si ndio mda wote unaropoka matusi hapa?

Hayo uliyoyaeleza unadhani mtu wa akili kama Lisu atayafanyaje wakati hana akili za kutafuta pesa? Umewahi ona watu ma Imla wakaleta maisha Bora? Mfano Magufuli alistawisha Ajira, biashara na Kilimo wapi?
Andika tusi moja la kwangu hapa nakulipa 100,000 kila tusi. Tatizo hutaki haki itendeke.
 
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Kibaraka ni huyo bibi wa kizanzibari anayeuza raslimali za Tanganyika kwa waarabu
 
Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Unatapatapa sana, relax
 
Sawa na asante kwa ushauri.

Acha ujuaji alafu ujui
Kawaondoa wamasai kwenye makazi yao kisa wajomba zake
Dp world ndio katoa zawadi kwa wajomba zake
Nakadhalika.
Toa kupunguani.wako.,watu wanaomdolewa.kisa kutunza hifadhi unaleta uzushi ?

DP World amefanya nini si ni mwekezaji kama wengine au wewe unaona.ni.nani?

Tatizo ni kuwa Waarabu au? Wangekuwa ni wale mabwana zenu Wabelgiji kusingekuwa na shida maana hapo bandarini wapo pia Adani ya India siwasikii.makelel yenu ya kipumbavu
 
Toa kupunguani.wako.,watu wanaomdolewa.kisa kutunza hifadhi unaleta uzushi ?

DP World amefanya nini si ni mwekezaji kama wengine au wewe unaona.ni.nani?

Tatizo ni kuwa Waarabu au? Wangekuwa ni wale mabwana zenu Wabelgiji kusingekuwa na shida maana hapo bandarini wapo pia Adani ya India siwasikii.makelel yenu ya kipumbavu
Sawa ila soon itanyesha alafu tutajua wapi panavuja.
 
Back
Top Bottom