Nyumbu ni wewe nchi yako inauzwa wewe kaziAmuza Rasilimali zipi hizo wewe nyumbu?
ni kusifia ujinga kutwa kucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu ni wewe nchi yako inauzwa wewe kaziAmuza Rasilimali zipi hizo wewe nyumbu?
Haweze kurelax huyo mission imefeli,na makubaliano yalikuwa mpunga mnene,ila sasa holaaa.Unatapatapa sana, relax
Imekuwa bei gani? Na kauziwa nani?Nyumbu ni wewe nchi yako inauzwa wewe kazi
ni kusifia ujinga kutwa kucha
Ni wajinga tu ndio watakaoenda kwenye uchaguzi huo feki na kupigwa jua kwenye foleni huku ccm ikiwa na matokeo yote hata kabla ya siku ya uchaguzi.Bunge linavunjwa mwezi wa saba, hakuna muda wa kubadili katiba katika kipengele cha uchaguzi.
Sasa tuone kama watagoma kushiriki, ni haki yao, ila wasiingilie haki ya wengine kupiga kura
Shoda ipo sana! Hiyo ni sawa na kuwa binadamu lakini mwenye akili za mifugoNdio mkuu kwani Kuna shida?
Mbona na wewe una akili za nyumbuShoda ipo sana! Hiyo ni sawa na kuwa binadamu lakini mwenye akili za mifugo
NO REFORMS NO ELECTION ni maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA, siyo ya Lissu. Ila ni Lissu ndiye anayeoneka kuiamini zaidi hiyo ishu kuliko wengine wanaopay Lip service tu.
Rudia tena kusoma kwenye aya ya pili.Watu sio Wajumbe Wala sio Wana Chadema tunaumbukaje kuzidi Mbowe mgombea?
Bwana Lissu almaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Mbowe ndio kaumbuka Sasa wengine tuliotamani apite shida Iko wapi?Rudia tena kusoma kwenye aya ya pili.
Bunge linavunjwa mwezi wa saba, hakuna muda wa kubadili katiba katika kipengele cha uchaguzi.
Sasa tuone kama watagoma kushiriki, ni haki yao, ila wasiingilie haki ya wengine kupiga kura
Bwana Lissu almaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Kazi ya CCM ni kuchochea Kuni ,Kwa nini waumie?Kinachonishangaza wote wanaoumia mioyo kwa Lisu kuchaguliwa ni wale wa CCM; huku CHADEMA hata wale waliokuwa wanamshabikia Mbowe wamekubali kuwa ni Demokrasia, hata Mbowe kafurahi, sasa hii inaonyesha nini?
Maana yake CCM wanaona aibu sana kwa nini wao hawana Demokrasia. Sasa badala ya kujifunza wanaanza fujo.
Kuchochea kuni huku, kwa nini msichochee kule kwa yule aliyejichagua ati yeye ndiyo ataendelea mwaka 2025? Huko ndiyo mngekua makini. Unafikiri kuna mtu atabaki huko baada ya kuona hii Demokrasia? Hata polisi wamefurahi, nao hawatawasikiliza CCMKazi ya CCM ni kuchochea Kuni ,Kwa nini waumie?
Kule Kuni za nini wakati kitabu kimefungwa? Tunasubiria kumuapiaha tuu.Kuchochea kuni huku, kwa nini msichochee kule kwa yule aliyejichagua ati yeye ndiyo ataendelea mwaka 2025? Huko ndiyo mngekua makini. Unafikiri kuna mtu atabaki huko baada ya kuona hii Demokrasia? Hata polisi wamefurahi, nao hawatawasikiliza CCM
Bwana Lissu almaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Stori za wajinga vijiweni wakifarijiana.Bila mabadiliko tume ya uchaguzi hakuna uchaguzi.