Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya hakitakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.

Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?

Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu

View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==

Hamlali hampoi😊😂😂 plan A imefeli pumzikeni kidogo
 
No reform no election only if they don't Mwambukusi him and his team. Wait and see..
 
No reform no election only if they don't Mwambukusi him and his team. Wait and see..
Huwaga ni porojo za ku fix Wajumbe mtu akishakalia kiti mambo yote yanaanza upya.

Wapi Mwabukusi na mbwe mbwe zote zile 😂😂
 
NO REFORMS NO ELECTION ni maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA, siyo ya Lissu. Ila ni Lissu ndiye anayeoneka kuiamini zaidi hiyo ishu kuliko wengine wanaopay Lip service tu.
 
Back
Top Bottom