Tunatafuta mashirika yanayotoa msaada wa visima vifupi kwa wananchi mmoja mmoja Wilaya ya Mvomero

Tunatafuta mashirika yanayotoa msaada wa visima vifupi kwa wananchi mmoja mmoja Wilaya ya Mvomero

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Wilaya ya Mvomero ni Wilaya yenye mito mingi sana.Hata hivyo Wilaya hii bado imeendelea kuwa na changamoto kubwa ya maji.Wananchi waliio wengi bado wanatumia visima vya wazi na mabwawa ambayo si salama kwa Afya zao,kwa kuwa mara nyingi wanachangia na mifugo.Maji haya kwa hiyo si salama na ni hatari sana kwa maisha yao. Kimsingi imekuwa kawaida sasa wananchi wa Mvomero kukumbwa na magonjwa kama kichocho na magonjwa ya matumbo kama vile Cholera,Typhoid,Amoeba,Dysentry nk.

Hata hivyo haionekani kama changamoto ya maji Wilaya ya Mvomero ipo karibu kutatuliwa wakati wowote karibuni,kwa kuwa tatizo bado ni kubwa sana,ingawa zipo juhudi za serikali zinazoendelea.

Nimeleta mada hii ili kama kuna mtu yeyote ambaye anajua shirika lolote mbalo linaweza kutoa msaada wa visima vifupi kwa wananchi wa Wilaya ya Mvomero au hata virefu tuwasiliane,ili tuweze angalau kupunguza tatizo hili ambalo ni kubwa sana. Inauma kuona wananchi wakichangia maji na mifugo.Naomba ujisikie huru kuni-inbox, ili tuone jinsi ya kuwasaidia wananchi wa Mvomero katika suala hili.
 
Adui wa kwanza wa taifa hilini wanasiasa, na itapendeza nikisema CCMmaana wao ndio wapo madarakani toka tupate uhuru, tupo hapa sababu ya wao.

Maendeleo yetu vs muda tuliojitawala havifanani hata kidogo.
Ni aibu na fedheha kubwa
 
Naona hawa scope yao ni limited sana,na hawana capacity ya kutosha.Wanapaswa ku-focus on the family unit, sio girls.Huu ni ubaguzi.
Umekagua vizuri mkuu au umegeneralize tu. Vikindu washachimba kisima na unguja washachimba. So nimekurecomend kwa taasisi sahihi kabisa.
 
Umekagua vizuri mkuu au umegeneralize tu. Vikindu washachimba kisima na unguja washachimba. So nimekurecomend kwa taasisi sahihi kabisa.
Nimeangalia kwenye website yao mkuu,they do not seem to have done much..By the way ulivyo mention ni visima viwili to kama sikosei.Anyway okay,nitawafuatilia zaidi.
 
Watanzania pamoja na CCM, tuko na uzwazwa mwingi!! Yaani wananzengo wako na mifugo mpaka inawaambukiza magonjwa lakini wanashindwa kutatua tatizo la maji kupitia mifugo hiyo!!!

Wastani wa bei ya ng'ombe December hii ni milioni 1 mpaka 3!! It meansi ukiwa na ngombe 2 mpaka 3 unaweza kuchimba kisima standard kabisa!!
 
Morogoro Morogoro Morogoro Nimekuita Mara 3
Tatizo La Maji Ni Nchi Nzima Hata Juzi PM Kauliza Yale Magari Serikali Iliyonunua Kila Mkoa Yapo Wapi ?
Kuna Kampuni Hapo Morogoro Niliitumia Kuchimba Kisima Mita 100
Huduma Zao Ni Lazima
kwanza Ulipe Gharama Siyo Bure
 
  • Thanks
Reactions: apk
Watanzania pamoja na CCM, tuko na uzwazwa mwingi!! Yaani wananzengo wako na mifugo mpaka inawaambukiza magonjwa lakini wanashindwa kutatua tatizo la maji kupitia mifugo hiyo!!!

Wastani wa bei ya ng'ombe December hii ni milioni 1 mpaka 3!! It meansi ukiwa na ngombe 2 mpaka 3 unaweza kuchimba kisima standard kabisa!!
Ni Kweli, Tena Inafungwa Solar Wanatumia Maji
 
Watanzania pamoja na CCM, tuko na uzwazwa mwingi!! Yaani wananzengo wako na mifugo mpaka inawaambukiza magonjwa lakini wanashindwa kutatua tatizo la maji kupitia mifugo hiyo!!!

Wastani wa bei ya ng'ombe December hii ni milioni 1 mpaka 3!! It meansi ukiwa na ngombe 2 mpaka 3 unaweza kuchimba kisima standard kabisa!!
Mkuu sio wote wana mifugo,na kumbuka hiyo mifugo inachungwa, haifugwi, ina-roam tu about.Halafuu,wenye mifugo na wasio na mifugo wanaishi among each other,so this adds to the complexity.

Lakini pia ukiwazaa,sasa kazi ya serikali ni nini,maana wananchi tunalipa kodi.Where does all the money go.Mimi hapa kwa mfano, umeme na maji nikejiwekea mwenyewe, sasa right inside me, how do I view the government.To me it is a useless giant,and this is how many rational people see it.
 
Kile kimwalimu cha kike kitapeli kikuu cha shule kipo?
 
Morogoro Morogoro Morogoro Nimekuita Mara 3
Tatizo La Maji Ni Nchi Nzima Hata Juzi PM Kauliza Yale Magari Serikali Iliyonunua Kila Mkoa Yapo Wapi ?
Kuna Kampuni Hapo Morogoro Niliitumia Kuchimba Kisima Mita 100
Huduma Zao Ni Lazima
kwanza Ulipe Gharama Siyo Bure
This is exactly why I am seeking for help,👉"Huduma Zao Ni Lazima
kwanza Ulipe Gharama Siyo Bure," na mwananchi wa kawaida hana uwezo huo.

Mimi sometimes naona kama serikali ipo vitani na wananchi wake.Sixty three years after independence wananchi bado wana-share maji na Ng'ombe,unbelievable.
 
Kipo hapo madizini kitapeli sana
Kilikutapeli nini,mbona husemi.Halafuu, wewe tuna-discuss mambo ya msingi wewe unaingiza ujinga,vipi brother,can't you have the slightest respect.
 
Mkuu sio wote wana mifugo,na kumbuka hiyo mifugo inachungwa, haifugwi, ina-roam tu about.Halafuu,wenye mifugo na wasio na mifugo wanaishi among each other,so this adds to the complexity.

Lakini pia ukiwazaa,sasa kazi ya serikali ni nini,maana wananchi tunalipa kodi.Where does all the money go.Mimi hapa kwa mfano, umeme na maji nikejiwekea mwenyewe, sasa right inside me, how do I view the government.To me it is a useless giant,and this is how many rational people see it.
Hakika, every government, by its very essence, manifests parasitic tendencies. Mfumo wa utawala wowote unategemea juhudi na rasilimali za wananchi, mara nyingi kwa guise ya maendeleo. Serikali hujivisha sura ya mkombozi, lakini nyuma ya pazia, mara nyingi hufanya exploitation ya wananchi wake.

Taxation, kwa mfano, ni mfumo wa kukusanya wealth kutoka kwa citizens, ostensibly for huduma za umma, lakini mara nyingi hizi resources hupotea kwenye bureaucratic inefficiencies na corruption. Serikali nyingi huchukua zaidi kuliko zinatoa, creating a parasitic cycle ambapo wananchi ndio wanabeba mzigo mkubwa zaidi.

Kibinafsi, nadhani tunapaswa ku-question kila institution ya governance. Kwa sababu serikali hutumia nguvu na sheria kuhakikisha inajilinda, citizens mara nyingi wanajikuta wakinyimwa nafasi ya kujadili kwa uwazi jinsi resources zao zinavyotumika. Kuna umuhimu wa kuamka na kufahamu kwamba serikali ni kama parasite ambayo huishi kwa host wake sisi wananchi.
 
Kilikutapeli nini,mbona husemi.Halafuu, wewe tuna-discuss mambo ya msingi wewe unaingiza ujinga,vipi brother,can't you have the slightest respect.
This might be a new scam of 2025
 
Back
Top Bottom