Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
- Thread starter
- #21
This is an excellent postmortem of governance,you couldn't more precise brother.The very reason for the creation of the World system of government is theft of resources of the citizenry by using laws.Hakika, every government, by its very essence, manifests parasitic tendencies. Mfumo wa utawala wowote unategemea juhudi na rasilimali za wananchi, mara nyingi kwa guise ya maendeleo. Serikali hujivisha sura ya mkombozi, lakini nyuma ya pazia, mara nyingi hufanya exploitation ya wananchi wake.
Taxation, kwa mfano, ni mfumo wa kukusanya wealth kutoka kwa citizens, ostensibly for huduma za umma, lakini mara nyingi hizi resources hupotea kwenye bureaucratic inefficiencies na corruption. Serikali nyingi huchukua zaidi kuliko zinatoa, creating a parasitic cycle ambapo wananchi ndio wanabeba mzigo mkubwa zaidi.
Kibinafsi, nadhani tunapaswa ku-question kila institution ya governance. Kwa sababu serikali hutumia nguvu na sheria kuhakikisha inajilinda, citizens mara nyingi wanajikuta wakinyimwa nafasi ya kujadili kwa uwazi jinsi resources zao zinavyotumika. Kuna umuhimu wa kuamka na kufahamu kwamba serikali ni kama parasite ambayo huishi kwa host wake sisi wananchi.
The NWO Cabal are the inventors of this system and I believe they get an allocation from each world government for inventing the system.