Tunataka kurudishwa Misri tulipolishwa makombo na mifupa huku nyama ikiliwa na wachache

Tunataka kurudishwa Misri tulipolishwa makombo na mifupa huku nyama ikiliwa na wachache

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.

Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.

Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.

Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.

SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
 
Angalia deni la taifa lilipo fikia na limerise kwa asilimia ngapi toka 2015 ndio uje utuambie nani alikuwa ombaomba wa mikopo na misaada.

Kama meko aliondoka na ubongo wako funga safari uende chato utamkuta kwenye kibanda cha mabati, umwambie akupatie. Maana naona umebaki na akili za kuendea chooni.
 
Akili kubwa hujadili hoja,akili ya Kati hujadili matukio na akili ya chini kabisa hujadili watu
 
Nadhani hukucheki statistics za mikopo mwaka 2015 -2020. Serikal haijawahi kuacha kukopa. check your facts again
 
Mleta uzi ni zoba sana.Bado anaiishi jana.Ningekuwa nakuona uso kwa macho ningekulamba makofi mpaka uteme udenda.Nyama ya bata kweli weye!😂😂😂😂😂😂
 
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI. Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma. Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo. Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them. SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. TANZANIA YENYE NEEMA YAJA na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Mawazo mgando uliyo nayo huko tulishaondoka baba.Mtu aliyekuaminisha nchi hii ni tajiri ndo alikupoteza maana ubongo wako usivyojitahidi kutanuka akakueleza pia kwamba hakuna asiyekopa huku akidai yeye ni tajiri. Pia malalamiko jamii ya kibeberu kumnyima misaada nawe kawaida unapita humo humo bila kujiongeza na matokeo yake kakuacha unakimbilia kutukumbusha yasiyowezekana.Wanunuaji na wapanga bei ya hayo makinikia ni hao hao unaowaita mabeberu.Utakaa sana.Tunajenga taifa lenye uhusiano na mataifa mengine huku tukiheshimu haki za watu.Ulimwengu wako umeshapita, sogea huku ili kazi iendelee.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi, kuna mamluki wa kufaida keki, na hao wako radhi kufanya upotoshaji kuliko kusimamia haki.
 
Tupo hapa kigamboni kwenye ile nyumba waliyokua wanaiba mafuta kwa miaka mitatu mfululizo mpaka juzi hapa mama alipoingia ofisini na kushtukia huo wizi.
 
Tumeambiwa yameuzwa, na migodi yote kwa sasa wanasafirisha makinia na escort ya serikali. Muda si mrefu tembo wataanza kuuwa, mateja wataanza kujazana mtaani. Tunarudi kule kule
 
Pale kajibwa kamoja kanaposhabikia mauaji ya watu wanaotofautiana mitazamo ya kisiasa na kiuchumi jibwa ambalo limeshakufa, lile jibwa liliua sana na sasa linazidi kuoza huku likiliwa na funza.
Huo mfano wa hadithi za kale za kufikirika wapelekee watoto wanaosoma mafundisho ya komunio ya kwanza, janvi hili limejaa intellectuals ambao wanashibishwa na facts na si hadithi za kale za alinacha.
 
Mtakula Samaki na maharage sio lazima kula nyama
 
Tumeambiwa yameuzwa, na migodi yote kwa sasa wanasafirisha makinia na escort ya serikali. Muda si mrefu tembo wataanza kuuwa, mateja wataanza kujazana mtaani. Tunarudi kule kule
Kwani mateja waliwahi kupungua mitaani?
Mlizoea kuonea wenzenu shenzi nyie.
 
Back
Top Bottom