Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

N
Acha uongo.
Yoote haya ni matokeo ya ubabe wa Mwendazake kujichulia sheria mikononi.
Wawekezaji wakija nchini wanajihami kisheria na kujikinga kimikata dhidi ya mambo kama kunyang'anywa maeneo mliyoingia nayo mikataba inayotambulika kimatsifa.
Jiulize suala la ACCACIA liliisha vipi?
Suala la kufukuzwa na Magufulimkandarasi Frderucci aliyejenga barabara ya Bagamoyo/Bunju limeishia wapi?

Suala la kuwafukuza kina Manji Quality Plaza limeishia wapi?

Suala la kukatiza mkataba na deni la kampuni ya Konoike limeishia wapi?

Ubabe mwingi kuliko akili ndiyo yametufikisha hapa tulipo, na pesa inatutokea puani.
Wewe sio serikali,mimi nimeitaka serikali ije ituambie kinachoendelea.
Ile ndege sio tako la mkeo,ni jasho letu walipa kodi.
Full stop.
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Wewe ni mpumbavu mno na huna faida ktk nchi hii' sielewi ni kwa sababu zipi upoo tu
 
Wewe ni mpumbavu mno na huna faida ktk nchi hii' sielewi ni kwa sababu zipi upoo tu
Nchi hii imejaa mapumbavu lukuki,na hilo li-@Tindo ni moja wapo ya uchafu alioutoa tumboni mama yake kunusuru uhai.
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
kiwango chako cha upumbav kiko juu sn aisee!!!!
 
Kwa sababu wewe unaishi kwa uchungu,endelea hivyo.

Ila zikiuzwa mjuwe na mama yenu bye bye!
Acha njozi chafu, bye bye kwa vipi? Wakati tayari tumeshapiga kura 2025,na ameshinda kwa 99.9%,pia atakuwa ameiokoa serekali kutokana na hasara,
I crocodiletooth support the program of selling this useless items ( if possible) which cost our government and uses taxpayers money's in safeguarding!, Jokes 😙😙
 
AAsante mkuu!

Angalau kuna Taasisi inayoweza kutishia chama tawala na aliyeshika hatamu!

You guys nawakubali Sana sema sifurahishwi jinsi mlivyo na subira Sana kwa wezi na wabadhirifu wa jamhuri!

Mnaharibu watoto na kuwapa imani Kwamba chama na mshika hatamu ndio top wa nchi kumbe Sio kweli!

Kumbe kuna Taasisi isiyoonekana ina operate Mambo,ni raha Sana kwa wazalendo wote kuhisi jambo kama hili!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo Sana!

"Jamhuri inapaswa kuwa kubwa kuliko chama wala kiongozi yeyote yule"
 
Asante kwa taarifa.

Nilikua nashangaa sana ndege ziendelee kuepo bila kuuzwa.

Mambo yanavyoenda watauza au watakabidhi shirika fulani kuendesha na huo utakua mwisho wa hizo ndege.

kule wanyama kupakiwa kwenye midege, huku deni la taifa.
Hii ndio Babylon yenyewe hakika.
 
Kuhujumu hizi ndege itakuwa ni uhaini wanyongwe. Ndege hizo ni Fahari ya Taifa
Ndege hizo kwa kweli zimekua ni msaada.

Tanzania kwa ukubwa wake inahitaji ndege, kutoka mkoa kama Dar kwenda Mwanza, Kigoma, Tabora, Songea wakiuza wanataka wasafiri walokuwa wanatumia ndege watumie usafiri gani?

Mtu anatoka Kigoma hadi Dar sasa kuna ndege zinasaidia.

Yani ni mambo ya hovyo sana.
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Mijizi ya umma imerejea hewani baada ya kauli na vitendo vya mama kuonesha anawakaribisha.
Hatua za mwanzo una msimamisha udc sabaya na kumpa kesi feki ukijua alitekeleza maelekezo ya jpm kufuatilia wahujumu wa uchumi. And then unawarudisha uwaziri na nafasi zingine waliyokua wametemwa na jpm kwa kumsimanga na kumdharau.
Hizo kama sio ishara kwa wapigaji na wezi wote wa umma ni nini?
 
Acha uongo.
Yoote haya ni matokeo ya ubabe wa Mwendazake kujichukulia sheria mikononi.
Wawekezaji wakija nchini wanajihami kisheria na kujikinga kimikataba dhidi ya mambo kama kunyang'anywa maeneo mliyoingia nayo mikataba inayotambulika kimataifa.

Jiulize suala la ACCACIA liliisha vipi?

Suala la kufukuzwa na Magufuli mkandarasi Federecci aliyejenga barabara ya Bagamoyo/Bunju limeishia wapi?

Suala la kuwafukuza kina Manji Quality Plaza limeishia wapi?

Suala la kukatiza mkataba na deni la kampuni ya Konoike limeishia wapi?

Ubabe mwingi kuliko akili ndiyo yametufikisha hapa tulipo, na pesa inatutokea puani.
Kwahiyo hata kama mikataba iliyosainiwa na viongozi ni kandamizi kwa nchi ( ni ya unyonyaji) we unataka kiongozi angeyafumbia macho yote hayo siyo? despite the fact that wanalindwa na sheria?
Mikataba sometimes inavunjwa au wana-review then amendment zinafanyika ili pande zote zinufaike!
Na hii ndo kazi kubwa ya kiongozi mwenye maono ya kutetea raslimali za nchi.

Vijana tusiwe single minded kama hivi, lasivyo kizazi kijacho hakitanufaika na resources za nchi yetu.
 
Acha uongo.
Yoote haya ni matokeo ya ubabe wa Mwendazake kujichukulia sheria mikononi.
Wawekezaji wakija nchini wanajihami kisheria na kujikinga kimikataba dhidi ya mambo kama kunyang'anywa maeneo mliyoingia nayo mikataba inayotambulika kimataifa.

Jiulize suala la ACCACIA liliisha vipi?

Suala la kufukuzwa na Magufuli mkandarasi Federecci aliyejenga barabara ya Bagamoyo/Bunju limeishia wapi?

Suala la kuwafukuza kina Manji Quality Plaza limeishia wapi?

Suala la kukatiza mkataba na deni la kampuni ya Konoike limeishia wapi?

Ubabe mwingi kuliko akili ndiyo yametufikisha hapa tulipo, na pesa inatutokea puani.
Mkuu, ilikuwaje Nyerere alipotaifisha?
 
Kwahiyo hata kama mikataba iliyosainiwa na viongozi ni kandamizi kwa nchi ( ni ya unyonyaji) we unataka kiongozi angeyafumbia macho yote hayo siyo? despite the fact that wanalindwa na sheria?
Mikataba sometimes inavunjwa au wana-review then amendment zinafanyika ili pande zote zinufaike!
Na hii ndo kazi kubwa ya kiongozi mwenye maono ya kutetea raslimali za nchi.

Vijana tusiwe single minded kama hivi, lasivyo kizazi kijacho hakitanufaika na resources za nchi yetu.
Mtu anaendaje kwa mfano kuingia mkataba kandamizi.
RUSHWA inaanzia hapo.
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Duh...!.
P
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Achaa ujinga wako,hizo Ndege ni Mali ya Umma na si za Magufuli, alafu punguza chuki kwa Marehemu!!
 
Back
Top Bottom