Yaani Nchi ikope, ndege inunuliwe,
MKOPO Bado haujalipwa,
Waibuke watu kutaka kuiuza Nia si kulipa deni Bali ni kuwanufaisha viongozi na familia zao.
Magu alikopa Kwa Nia njema na akalipa cash, wao waziuze waweke pesa mifukoni mwao.
Jambo hili mbona ni la KITAIFA? Tutakaolipa ni sisi sote bila kujali vyama vyetu.
Wanaokejeli kuhusu jambo hili ni maadui wa Taifa, WASHUGHULIKIWE.
MKOPO Bado haujalipwa,
Waibuke watu kutaka kuiuza Nia si kulipa deni Bali ni kuwanufaisha viongozi na familia zao.
Magu alikopa Kwa Nia njema na akalipa cash, wao waziuze waweke pesa mifukoni mwao.
Jambo hili mbona ni la KITAIFA? Tutakaolipa ni sisi sote bila kujali vyama vyetu.
Wanaokejeli kuhusu jambo hili ni maadui wa Taifa, WASHUGHULIKIWE.