Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

Yaani Nchi ikope, ndege inunuliwe,

MKOPO Bado haujalipwa,

Waibuke watu kutaka kuiuza Nia si kulipa deni Bali ni kuwanufaisha viongozi na familia zao.

Magu alikopa Kwa Nia njema na akalipa cash, wao waziuze waweke pesa mifukoni mwao.

Jambo hili mbona ni la KITAIFA? Tutakaolipa ni sisi sote bila kujali vyama vyetu.

Wanaokejeli kuhusu jambo hili ni maadui wa Taifa, WASHUGHULIKIWE.
 
Nilisoma mahali mdai kaweka wazi hana nia ndege iuzwe ili alipwe fidia. Kwa hiyo, ile ndege haiwezi kuuzwa ili kumlipa mdai.
Kwann KABUDI amefichwa kama msukule, jambo hili angeweza saidia kesi ikaondoka maana hamna case pale.
 
Isssue hii ni ya KITAIFA,

Wote wanaojibu HOJA Kwa ushabiki wa Vyama na makundi kisiasa hawana UZALENDO Kwa Nchi.

Tuungane pamoja kama Watanzania ktk issue zenye maslah ya nchi.

MKOPO alikopa Magu kununua ndege HAUJALIPWA na wanaoutaka kuuza ndege hizo Nia si kulipa DENI, ni kutunisha AC zao.


Tuwaweke kundi moja na WAHUJUMU Uchumi, na ikibidi watendwe kama CHINA wanavyowashughulikia.
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Ndugu VOICER,

Umeandika juu ya wanyama 250 kupakiliwa HAI kwenye ndege, na kutoroshwa kinyemela,

Mamlaka ya kuzuia mnayo,

Why mlalamike kama wananchi na msichukue hatua?

Hadi lini mambo haya kuendelea?

Kwani Kuna tatizo Gani kumaliza a na kundi dogo kama tu Nchi itapata faida na kuepukana na HASARA Kwa vizazi vijavyo?
 
Usipanick, huu mchezo hautaki hasira.
Kwako ni mchezo sio!
Bahati ya mama yako alikuzaa bila hivyo angegeuka mwehu!

Alipokutoa wewe ndio ikawa pona yake
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Nchi imevaa ushungi,kazi ipo!
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Kifo cha yule balozi seems kina mengi muhimu
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Nani akupe huo ukweli YAANI kizazi hiki badala ya kuutafuta mwenyewe ili uje uwasute nao unataka wao wakupe ukweli-BURE KABISA
 
Wewe sio serikali,mimi nimeitaka serikali ije ituambie kinachoendelea.
Ile ndege sio tako la mkeo,ni jasho letu walipa kodi.
Full stop.
Hasira na mitusi siyo jadi yetu. Wewe umeandika, hakukutukana. Naye kaandika maoni yake. Kama kasema vibaya, sema neno baya alilosema, lakini kama kasema vema kwanini kumtukana yeye na mkewe. Hujisikii vibaya kumtukana nduguyo. Sisi sote wa-Tanzania, kuporomosheana mitusi haifai.
 
Back
Top Bottom