Kwann KABUDI amefichwa kama msukule, jambo hili angeweza saidia kesi ikaondoka maana hamna case pale.Nilisoma mahali mdai kaweka wazi hana nia ndege iuzwe ili alipwe fidia. Kwa hiyo, ile ndege haiwezi kuuzwa ili kumlipa mdai.
Ndugu VOICER,CCM ni tatizo!
Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.
Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.
Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.
Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.
Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.
Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.
Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.
Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.
Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.
Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.
Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.
Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.
Hatutapoa.
Tukatae wahuni.
Alamsikhi.
10101.
Stupid comments in critical issues.Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Umesema kweli tupu!Hivi ndege yetu ilienda fanya nini Uholanzi tuanzie hapo
Stupid comments in critical issues.
Nchi imevaa ushungi,kazi ipo!CCM ni tatizo!
Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.
Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.
Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.
Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.
Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.
Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.
Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.
Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.
Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.
Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.
Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.
Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.
Hatutapoa.
Tukatae wahuni.
Alamsikhi.
10101.
Kifo cha yule balozi seems kina mengi muhimuCCM ni tatizo!
Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.
Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.
Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.
Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.
Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.
Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.
Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.
Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.
Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.
Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.
Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.
Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.
Hatutapoa.
Tukatae wahuni.
Alamsikhi.
10101.
Nani akupe huo ukweli YAANI kizazi hiki badala ya kuutafuta mwenyewe ili uje uwasute nao unataka wao wakupe ukweli-BURE KABISACCM ni tatizo!
Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.
Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.
Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.
Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.
Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.
Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.
Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.
Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.
Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.
Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.
Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.
Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.
Hatutapoa.
Tukatae wahuni.
Alamsikhi.
10101.
Hasira na mitusi siyo jadi yetu. Wewe umeandika, hakukutukana. Naye kaandika maoni yake. Kama kasema vibaya, sema neno baya alilosema, lakini kama kasema vema kwanini kumtukana yeye na mkewe. Hujisikii vibaya kumtukana nduguyo. Sisi sote wa-Tanzania, kuporomosheana mitusi haifai.Wewe sio serikali,mimi nimeitaka serikali ije ituambie kinachoendelea.
Ile ndege sio tako la mkeo,ni jasho letu walipa kodi.
Full stop.
KuzururaHivi ndege yetu ilienda fanya nini Uholanzi tuanzie hapo