Tunatamani uwepo wao lakini haiwezekani kuwa nao

Tunatamani uwepo wao lakini haiwezekani kuwa nao

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Tarehe kama ya Leo , Miaka 3 nyuma nilifanikiwa kumpata mwanangu wa kwanza (baby boy) lakini kwa kadari zake mungu hakuweza kuishi zaidi ya siku 1 pekee.

Hakuna siku ambayo siyaacha kutamani uwepo wake lakini haiwezekani kuwa nae.

Huwa nashangazwa na wanaotupa watoto ilihali Kuna wengine wanawatafuta kwa udi na uvumba.

Watoto ni neema na Baraka , ukijaaliwa kuipata itunze na uithamini.
 
Tarehe kama ya Leo , Miaka 3 nyuma nilifanikiwa kumpata mwanangu wa kwanza (baby boy) lakini kwa kadari zake mungu hakuweza kuishi zaidi ya siku 1 pekee.

Hakuna siku ambayo siyaacha kutamani uwepo wake lakini haiwezekani kuwa nae.

Huwa nashangazwa na wanaotupa watoto ilihali Kuna wengine wanawatafuta kwa udi na uvumba.

Watoto ni neema na Baraka , ukijaaliwa kuipata itunze na uithamini.
Kila kitu kina sababu chini ya Jua
 
Kwenye hii dunia kwanza tambua kifo kipo kwa kiumbe yeyote na kwa muda wowote.

Pia hakuna Mungu anaye panga vifo vya watu au viumbe.

Kukaa kaa kusikitika na kulia lia hakusaidii kitu, Move on.

Kifo kipo tu, kikija acha kije. Maana hata ulie, ucheke, usikitike, unyamaze. Kifo bado kipo palepale.

Enjoy your life to the fullest. Huwezi kufanya kifo kisiwepo.
 
Kwenye hii dunia kwanza tambua kifo kipo kwa kiumbe yeyote na kwa muda wowote.

Pia hakuna Mungu anaye panga vifo vya watu au viumbe.

Kukaa kaa kusikitika na kulia lia hakusaidii kitu, Move on.

Kifo kipo tu, kikija acha kije. Maana hata ulie, ucheke, usikitike, unyamaze. Kifo bado kipo palepale.

Enjoy your life to the fullest. Huwezi kufanya kifo kisiwepo.
Kuwakumbuka wapendwa wetu haimaanishi hatuja move on. Hatuwezi kuwasahau hata iweje.
 
Back
Top Bottom