Tunatamani uwepo wao lakini haiwezekani kuwa nao

Tunatamani uwepo wao lakini haiwezekani kuwa nao

Mkuu hvi wewe huna watoto kwenu
Kwani ukiwa na watoto ndio kwamba hawawezi kufa?

Watoto na wao ni viumbe wanaweza kufa muda wowote.

Kwa hiyo, Kifo kikija kimekuja hata ulie, ucheke, usikitike au unyamaze hakubadilishi uhalisia wa kifo.
 
Unalia nini sasa?

Kwani baada ya kulia huyo marehemu alifufuka?

Au ukilia huyo marehemu atafufuka?

Elewa kwamba kifo kipo kwa kila kiumbe.

Ulie, ucheke, usikitike, unyamaze hakubadilishi uhalisia wa kifo.
Nakubali kifo kipo.
Nikusaidie tuu kulia ni natural human response kwa emotions mbali mbali sasa ili kuweza ku balance hisia kama hizo ndo tunalia
 
Swali zuri madamu
ATP ni kifupisho cha neno adenosine triphosphate.
Maana yake nini hii ni energy katika mwili wako.
Unapokula na kushiba tunasema sasa una ATP za kutosha kwa lugha nyepesi..

Sasa unapoanza kubishana kwa mambo ambayo hayana mabega ni kupunguza nguvu mwilini yaani ATP...
Oohh!! Sasa naona wewe ndo umeingia mtegoni. Una elezea nini achana nae , apambane na fikra zake azijuazo.
 
Kwani ukiwa na watoto ndio kwamba hawawezi kufa?

Watoto na wao ni viumbe wanaweza kufa muda wowote.

Kwa hiyo, Kifo kikija kimekuja hata ulie, ucheke, usikitike au unyamaze hakubadilishi uhalisia wa kifo.
Wanao wakifa wewe utafanya nini...?
 
Oohh!! Sasa naona wewe ndo umeingia mtegoni. Una elezea nini achana nae , apambane na fikra zake azijuazo.
Sawa madamu shukrani kwa ushauri wako ila samahani madamu mimi naomba nimmnyooshe kazidi sana huyu jamaa
 
Kama huna Cha maana nyamanza.
Ukishaweka habari za familia yako hapa JF ina maana umeweka kwenye Public Forum.

Na kila mtu ana uhuru wa kuchangia maoni yeyote.

Kama ulikuwa hutaki kukosolewa usingeleta hizi habari kwenye public forum.
 
Ukishaweka habari za familia yako hapa JF ina maana umeweka kwenye Public Forum.

Na kila mtu ana uhuru wa kuchangia maoni yeyote.

Kama ulikuwa hutaki kukosolewa usingeleta hizi habari.
Hakuna tabu , uwanja wako mwamba, jimwae.
 
Ukishaweka habari za familia yako hapa JF ina maana umeweka kwenye Public Forum.

Na kila mtu ana uhuru wa kuchangia maoni yeyote.

Kama ulikuwa hutaki kukosolewa usingeleta hizi habari kwenye public forum.
Wewe jukwaa kinalokufaa ni kule kwenye ku prove dunia tambalale au duala mkuu
 
Hutohudhunika..
Je mpenzi wako akikuacha kwa gafula
Kwanza tambua kwenye hii dunia anything scary and shocking can happen to you anytime.

Kwa hivyo andaa ubongo 🧠 wako, kupokea taarifa yeyote ile negative muda wowote na ujue namna yaku control emotions na feelings zako kwa utulivu.

Ukishafanikiwa hili, Hutashtushwa na taarifa yeyote ile ikupe madhara ya kihisia na kisaikolojia.
 
Kwanza tambua kwenye hii dunia anything scary and shocking can happen to you anytime.

Kwa hivyo andaa ubongo 🧠 wako, kupokea taarifa yeyote negative muda wowote na ujue namna yaku control emotions na feelings zako kwa utulivu.

Ukishafanikiwa hili, Hutashtushwa na taarifa yeyote ile ikupe madhara.
Et andaa ubongo wako...!!
Hivi unaelewa hata concept ya reflux arc mkuu.
Unaelewa mechanism mpaka mtu unalia wewe..?

Mda wa kuwaza kutafuta maokoto et nianze kuandaa ubongo how came...?

Hatukatai kuhusu ku control emotions ila kuna mda unafika hata hizo emotions ku control inakua ngumu ndo hapo tunakutana na kitu kinaitwa law of conservation of emotion...
 
Et andaa ubongo wako...!!
Hivi unaelewa hata concept ya reflux arc mkuu.
Unaelewa mechanism mpaka mtu unalia wewe..?

Mda wa kuwaza kutafuta maokoto et nianze kuandaa ubongo how came...?

Hatukatai kuhusu ku control emotions ila kuna mda unafika hata hizo emotions ku control inakua ngumu ndo hapo tunakutana na kitu kinaitwa law of conservation of emotion...
Sasa kama ulishajiwekea akilini mwako tukio fulani haliwezi kukutokea, Siku likikutokea utalia tu.

Kwa sababu kwenye ubongo wako ulisha jiwekea hivyo.

Lakini uki elewa kwamba kitu chochote cha ghafla au tukio lolote la ghafla, Linaweza kukutokea kwa wakati wowote, Hutalia.

Bali utajua na uta tafuta namna yaku kabiliana na kitu hicho au tukio hilo wakati limetokea au linatokea.
 
Sasa kama ulishajiwekea akilini mwako tukio fulani haliwezi kukutokea, Siku likikutokea utalia tu.

Kwa sababu kwenye ubongo wako ulisha jiwekea hivyo.

Lakini uki elewa kwamba kitu chochote cha ghafla au tukio lolote la ghafla, Linaweza kukutokea kwa wakati wowote, Hutalia.

Bali utajua na uta tafuta namna yaku kabiliana na kitu hicho au tukio hilo wakati limetokea au linatokea.
Na sio wote wanalia..
Kingine till now hakuna mtu aisiyejua kuwa kifo kipo...

Tunarudi pale pale ukijua mechanism za hormonal response mwilini sizani kama utakua unabisha bisha kuhusu watu kulia na kujiandaa na hayo unayosema..

Ina elekea wee mwamba una roho mbaya sana aiseee.. an wee licha ya kumkataa Mungu ila sasa naona unataka kukataa mpaka kuhusu kulia yaani umekaa kiukatili ukatili tuu
 
Tumuache sasa
Yeah mimi nimemaliza. Unajua labda mtu ataona tu Hilo la mwanangu lakini Kuna jumbe mbili ndani yake.

1. Kuna watu wanaotupa watoto wakiwazaa.
2. Kuna wale ambao watoto wanao lakini hawawajali.

Kuna siku nilikuwa naenda sehemu kwenye dalalada nikakutana na dada mmoja yupo na mwanae kamuweka kiupande upande hajampakata vizuri ana miaka kama 5 hivi, yule mtoto akawa anasinzia anamuegamia mama yake, mama mtu sasa akaanza kumsukumiza na kumfokea.

"Aaahh!! Ndo mbona sipendagi kutembea na wewe , embu Kaa, usilale lale".

Yeye cha maana afanyacho Hana yupo bize na simu anachat , nikapotezea mara ya kwanza , mara ya pili eehh yatatu ikanishinda , nikamwambia hebu mlete hapa, nikampakata vizuri , nikamwambia yule mtoto haya lala. Nia na madhumuni ilikuwa natoa somo mama mtu aone kwa vitendo mtoto sio wa kusukumwa sukumwa hovyo.

Kwahiyo Kuna watu Wana watoto lakini kuwalea kwa mapenzi hawawezi kbsaa.

Kwahy ndugu yetu kaona ujumbe wa kufiwa tu na kukariri kusikitika, ni maoni yake nayaacha kama yalivyo.
 
Back
Top Bottom