Ushamba ni mwingi hamna kitu unajua,wacha mtu afike ajionee ,hiyo mada ya picha zimetoka wapi ni irrelevant,saa zingine shule ni muhimu sana .Lowasa alisisitiza sana elimuSio kuchafua huo ndo uhalisia, we right click hiyo picha kisha search google image utaona
Kwamba nidanganye kwa lipi hasa?Halafu anasema yuko Makumbusho, na huko kunafahamika timu gani inachezea pande hizo, unapokwenda uwe na jicho la tatu picha zinaweza kuwa chambo kwa wakosoaji wa utawala
Wewe ni tapeliUshamba ni mwingi hamna kitu unajua,wacha mtu afike ajionee ,hiyo mada ya picha zimetoka wapi ni irrelevant,saa zingine shule ni muhimu sana .Lowasa alisisitiza sana elimu
Hizi product sio level yako ,wewe nenda manzese, I dare anyone to come physically aje atoe ushuhuda hapa kama hujaja kuomba msamahaWewe ni tapeli
Mkuu, mimi naomba kuuliza, je naweza kuja nikajifunza nikapata ujuzi ili mbeleni niweze kuanzisha ofisi yangu? Hata kama kuna gharama ya pesa nipo tayari kulipia.Wadau habari,
Karibuni kwa biashara
Sisi ni mafundi wa furniture ambazo zinatumia material za epoxy/resin zikichanganyika kitaalam na mbao na kuleta mvuto .
Tunapatikana maeneo ya makumbusho.
Naweka mfano wa baadhi ya furniture mniunge mkono.
Karibuni kwa dm tupeane mawasiliano na taarifa zaidi kwa ambaye yuko na haya mahitaji
Naomba kufahamu, hapo hizo picha zote umezipiga ukiwa ofisini kwako? Maana naona mara kuna tiles, nyingine swimming pembeni, nyingine chini kuna mbao, nyingine paving mara zege.Wadau habari,
Karibuni kwa biashara
Sisi ni mafundi wa furniture ambazo zinatumia material za epoxy/resin zikichanganyika kitaalam na mbao na kuleta mvuto .
Tunapatikana maeneo ya makumbusho.
Naweka mfano wa baadhi ya furniture mniunge mkono.
Karibuni kwa dm tupeane mawasiliano na taarifa zaidi kwa ambaye yuko na haya mahitaji
Hii hata ukiingia youtube utapata ujuzi,ukitaka kufundishwa pia sawa njoo tuyajenge,hizi resin ndio bei juu kdgMkuu, mimi naomba kuuliza, je naweza kuja nikajifunza nikapata ujuzi ili mbeleni niweze kuanzisha ofisi yangu? Hata kama kuna gharama ya pesa nipo tayari kulipia.
Ni kama kweli vileUbaya umeokota picha za watu.
Weka picha zako halisi kuliko kutumia picha za instagram
Unachoshindwa kuelewa hizi ni design ambazo ziko freely for everyone to use.wabongo shida sanaNi kama kweli vileView attachment 2773940View attachment 2773941
hizi zote bado hujaziona tu,nadhani kama uko serious utakuja ujioneeweka ulizotengeneza wewe
sikuziona kabla ya kuandika mkuuhizi zote bado hujaziona tu,nadhani kama uko serious utakuja ujionee
Makalio yana akili!?Ntampelekea wapi,ifike mahali msitumie akili za makalio
Ndio ujue watu wana chuki tu kuona wengine wanafanya biashara wao kila siku wanalia maisha magumu,na kudhani kila mtu ni tapeliMakalio yana akili!?
Mkuu usiwe Mbishi, mimi pia nafanya Epoxy, kuna Nyuzi zangu humu, tu kwa sasa nipo nje ya nchi. wewe kufanya Epoxy furniture sio tatizo kwa Watu, tatizo umeokoteza Picha mtandaoni na kuzifanya kama ni kazi yako!Kwamba nidanganye kwa lipi hasa?
what if mtu alitaka kufika ofisini ?
Ntampelekea wapi,ifike mahali msitumie akili za makalio