Tunatengeneza furniture za epoxy na mbao

Tunatengeneza furniture za epoxy na mbao

Mkuu usiwe Mbishi, mimi pia nafanya Epoxy, kuna Nyuzi zangu humu, tu kwa sasa nipo nje ya nchi. wewe kufanya Epoxy furniture sio tatizo kwa Watu, tatizo umeokoteza Picha mtandaoni na kuzifanya kama ni kazi yako!

Hiyo inakuondolea Credit juu ya Uaminifu wako.

Nakushauri futa picha ulizotoa mtandaoni, weka picha zako, hata kama unazo picha 3 weka hizo, watu wataona kazi yako!
Wewe ni nani kuamulia watu vitu vya kuweka kwenye thread ,fungua threads yako ndio uweke vitu unavyotaka,acha chuki ,kwa biashara za wenzako.
picha nimekuwekea za mwisho hizo nimekupa ruhusa usearch,na ziko nyingi tu .So far naona unaharibu biashara za wenzako ukidhani ndio ushindani,grow up ,market kubwa hii acha uoga we kupitwa
 
Mkuu usiwe Mbishi, mimi pia nafanya Epoxy, kuna Nyuzi zangu humu, tu kwa sasa nipo nje ya nchi. wewe kufanya Epoxy furniture sio tatizo kwa Watu, tatizo umeokoteza Picha mtandaoni na kuzifanya kama ni kazi yako!

Hiyo inakuondolea Credit juu ya Uaminifu wako.

Nakushauri futa picha ulizotoa mtandaoni, weka picha zako, hata kama unazo picha 3 weka hizo, watu wataona kazi yako!
Wivu nao unachangia
 
We jamaa mjeuri hiv halafu unatafuta wateja.majibu yako yanasadifu wasifu wako
Mtu anyeharibu biashara yako ni kama mchawi,hana tofauti na muuaji,sasa unipangie niweke design unazotaka wewe Kisha uniite tapeli ,mie naweza design zote zote,tulizotengeneza na zingine zozote za mtandaoni tusipangiane kwa thread yangu
 
Unachoshindwa kuelewa hizi ni design ambazo ziko freely for everyone to use.wabongo shida sana
Mkuu hongera sana kwa kazi zenu
Ila mtu akikosoa kwa wewe kuweka picha za mitandao haina haja ya kupambana nae
Kwa hizi za chini ulizoweka ndio uhalisia wenyewe na kazi zenu maana the difference is clear
Chapa kazi mkuu nimezipenda hizi designs maana huwa naziona kwenye TV jinsi wanatengeneza ni amazing 👏

Acha nikufuatilie Mkuu
 
Mkuu hongera sana kwa kazi zenu
Ila mtu akikosoa kwa wewe kuweka picha za mitandao haina haja ya kupambana nae
Kwa hizi za chini ulizoweka ndio uhalisia wenyewe na kazi zenu maana the difference is clear
Chapa kazi mkuu nimezipenda hizi designs maana huwa naziona kwenye TV jinsi wanatengeneza ni amazing 👏

Acha nikufuatilie Mkuu
Mtu yoyote anaweza kufanya,wenzetu wanaona kama rocket science ndio maana hawaamini
 
Mtu yoyote anaweza kufanya,wenzetu wanaona kama rocket science ndio maana hawaamini
Kuamini sawa ila mkuu unapofanya kitu jitangaze kwa ubunifu wako na uhalisia
Naunga mkono kazi zenu ila kama mdau alivyokuambia weka za kwako zaidi ila umemshambulia sana badala ya kuona ukweli

Hakuna mtu anaona wivu ila hata mimi nilipoona kazi yako na jinsi unavyosema hiyo resin ndio ghali, nimefikiria hivi haiwezi kutengeneza Tz mbona ni plastic tu ila ingredients zake ndio sijui

Hongera ila usiwe na hasira humu utakutana na watu wengine hawana shida ya kununua ila wana wa Alert ⚠️ wengine tu
 
Kuamini sawa ila mkuu unapofanya kitu jitangaze kwa ubunifu wako na uhalisia
Naunga mkono kazi zenu ila kama mdau alivyokuambia weka za kwako zaidi ila umemshambulia sana badala ya kuona ukweli

Hakuna mtu anaona wivu ila hata mimi nilipoona kazi yako na jinsi unavyosema hiyo resin ndio ghali, nimefikiria hivi haiwezi kutengeneza Tz mbona ni plastic tu ila ingredients zake ndio sijui

Hongera ila usiwe na hasira humu utakutana na watu wengine hawana shida ya kununua ila wana wa Alert ⚠️ wengine tu
Sawa hawa watu wako kwa ajili ya kukatisha watu tamaa ,watu serious wameshanichek na watakuja ofisini niwape maelekezo na waone sample kwa uhalisia,na tutafanya biashara.
 
Sawa hawa watu wako kwa ajili ya kukatisha watu tamaa ,watu serious wameshanichek na watakuja ofisini niwape maelekezo na waone sample kwa uhalisia,na tutafanya biashara.
Sawa mkuu Nimekuelewa vizuri shukran
 
Wewe ni nani kuamulia watu vitu vya kuweka kwenye thread ,fungua threads yako ndio uweke vitu unavyotaka,acha chuki ,kwa biashara za wenzako.
picha nimekuwekea za mwisho hizo nimekupa ruhusa usearch,na ziko nyingi tu .So far naona unaharibu biashara za wenzako ukidhani ndio ushindani,grow up ,market kubwa hii acha uoga we kupitwa
Mimi wala sina shida na wewe, mimi nilikua nakueleza tu kwa Nia njema...

By the way nafanya unachofanya lakini nje ya Nchi, sina sababu ya kukuwekea Chuki.....

Huu ni Uzi wako, kama umeamua Kutoa Picha mtandaoni ni juu yako!

Nilikua nakushauri tu kama Mdau...!

Jamii forums so facebook, kila la heri.
 
Wadau habari,

Karibuni kwa biashara
Sisi ni mafundi wa furniture ambazo zinatumia material za epoxy/resin zikichanganyika kitaalam na mbao na kuleta mvuto .

Tunapatikana maeneo ya makumbusho.

Naweka mfano wa baadhi ya furniture mniunge mkono.

Karibuni kwa dm tupeane mawasiliano na taarifa zaidi kwa ambaye yuko na haya mahitaji
Naona nikuulize bei ya epoxy wanauzaje, maana nataka kujua bei ya dar nifanye comparison ya huku je kuna aina ngapi za hiyo epoxy..
 
Back
Top Bottom