leodude

Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
28
Reaction score
41
Ramani ya vyumba vitatu , chumba kimoja masta, sebule na choo cha kushea, Ukubwa wa Ramani ni mita 9/kwa mita9/...kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649.

 
Ni kwa Mara nyingine Tena nawaletea Ramani ya vyumba vitatu, viwili self, kimoja masta...ukubwa ni mita 12/kwa 12.6...kupata Ramani yake nichek whatsap 062757164

 
Hii ni Ramani ya vyumba viwili kimoja masta na mahitaji yote muhimu. ukubwa wa Ramani mita 10.6/kwa mita 10.3

#Mahitaji
Tofali za msingi=598{kozi nne}
Tofali za boma=1514
bati pisi 56{futi kumi}

#Kwa wakazi wa Arusha/kilimanjaro mnapata hardcopy za Ramani
kwa mawasiliano zaidi nione whatsap 0627571649

 
ZINGATIA|| MAKADIRIO YANAWEZA KUBADILIKA KUTOKANA NA SABABU MBALIMBALI
 
inaweza kula milioni ngapi hadi kukamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…