Tukumbusane tu, ukimaliza ujenzi piga picha tuone muonekano wake kama unabaki kama ulivyokwenye ramani
 
Waswahili wakijenga wanawazia na wageni pia 🤦🏾‍♂️
 
Nimegundua haya na yafanyie kazi;
  • jifunze tena rendering, mchoro hauvutii kabisa
  • haupo vizuri kabisa kwenye makadirio, hjyo nyumba utstumia zaidi ya Tofali 1500
  • foundation haipaswi kuwa course 4, hata Kama mteja atakomaa kwenda kujenga course 4 itakuwa juu yake Ila wewe mtaalam unapaswa kusimamia kwenye standard.
 
Ramani ya Vyumba Vinne chumba kimoja masta pia ina wic(walk in closet)...
Ukubwa Wa Ramani mita 12/kwa mita 15
kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649

 
Ramani ya vyumba viwili, kimoja masta, sebule, jiko na choo cha kushea
Ukubwa wa Ramani mita 9/kwa mita 9
Kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649

 
Ramani ya ghorofa moja
chini kuna;
"Sebule
" Dining&jiko&Stoo
"Vyumba viwili vya kawaida
" choo cha kushea

Juu kuna;
"master bedroom(hii ya baba na mama😃😃) ikiwa na balcony kupunga upepo

Kupata Ramani yake na nyinginezo nitext whatsap 0627571649





 
Hii Ramani ya vyumba vitatu vyote self, choo cha kushea na mahitaji yote , Ramani ina Ukubwa Wa mita 9/kwa mita 12
Kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…