Tunatoa huduma ya kuchimba visima

Tunatoa huduma ya kuchimba visima

Joined
Aug 7, 2018
Posts
8
Reaction score
8
wachimbaji visima virefu Tanzania pia tunafanya tafiti za maji ardhini (surveying)

mikoa yote tupo kwa maelezo sahihi ya mteja wapi upo mkoa gani na sehemu gani basi wasiliana nasi kwa namba

-0762484200
-0627431955

karibuni: IMG_0387.jpg
 
wachimbaji visima mikoa yote Tanzani, bei zetu kama ifuatavyo kwa baadhi ya mikoa, na mikoa mingine tutapeana gharama tutakapowasiliana kupitia namba zetu,

(1) Dar mita moja tunachaji 65,000 na upimaji wa maji ( survey) ni laki 200,000

(2) Morogoro,Tanga,Dodoma mita moja tunachaji 80,000 na kupima (survey) laki 400,000

(3)Mbeya,Njombe,Iringa,Songea mita moja tunachaji 120,000 mpaka 130,000 inategema na formation ya miamba na survey tunafanya kwa laki (600,000)

(4) Moshi, Arusha mita moja tunachaji kuanzia (140,000) mpaka (170,000 ) pia inategemea na formation ya miamba na (survey ) tunafanya kwa laki (600,000)

(5) Mwanza,mara ,Tarime,Singida,Tabora mita moja tunachaji (120,000-140,000) na (survey) tunafanya kwa laki (600,000 -900,000)

mikoa mingine bei maelewano maana hatuwezi weka makadirio sahihi kwani inategemea na umbali pia na formation (aina ya miamba kwa taarifa sahihi tupigie simu namba zetu ni 0686733292/0714453589/0766438286

whasap us on - 0686733292/0714453589

email us on wachimbaji visima@gmail.com
View attachment 2211306
View attachment 2211307
View attachment 2211308
View attachment 2211309
View attachment 2211310
View attachment 2211311
View attachment 2211312
View attachment 2211313
View attachment 2211314
Mita moja ni sawa na futi 3 na inchi 2 kwa shilingi 65,000/=.
 
wachimbaji visima mikoa yote Tanzani, bei zetu kama ifuatavyo kwa baadhi ya mikoa, na mikoa mingine tutapeana gharama tutakapowasiliana kupitia namba zetu,

(1) Dar mita moja tunachaji 65,000 na upimaji wa maji ( survey) ni laki 200,000

(2) Morogoro,Tanga,Dodoma mita moja tunachaji 80,000 na kupima (survey) laki 400,000

(3)Mbeya,Njombe,Iringa,Songea mita moja tunachaji 120,000 mpaka 130,000 inategema na formation ya miamba na survey tunafanya kwa laki (600,000)

(4) Moshi, Arusha mita moja tunachaji kuanzia (140,000) mpaka (170,000 ) pia inategemea na formation ya miamba na (survey ) tunafanya kwa laki (600,000)

(5) Mwanza,mara ,Tarime,Singida,Tabora mita moja tunachaji (120,000-140,000) na (survey) tunafanya kwa laki (600,000 -900,000)

mikoa mingine bei maelewano maana hatuwezi weka makadirio sahihi kwani inategemea na umbali pia na formation (aina ya miamba kwa taarifa sahihi tupigie simu namba zetu ni 0686733292/0714453589/0766438286

whasap us on - 0686733292/0714453589

email us on wachimbaji visima@gmail.com
View attachment 2211306
View attachment 2211307
View attachment 2211308
View attachment 2211309
View attachment 2211310
View attachment 2211311
View attachment 2211312
View attachment 2211313
View attachment 2211314
Nikishalipia Survey na kiwanjani kwangu mkakosa chanzo cha maji pesa yangu inakuwaje?
 
Kumbuka inachimba mashine na Mafuta yanatumika usije ukafikiri unachimba na sululu la mkono🤣🤣
Ulienda shule kusoma? Au umependa kuniletea ujinga wa vijiweni.
Nilichoandika siyo kushangaa au kuuliza, nimeandika watu wajue urefu wa kina kwani si kila mtu anajua.
 
Back
Top Bottom