Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
- Thread starter
- #21
huduma inaendelea wakuu karibuni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunguni sio wakuspray?
Utachelewa sana kufanikiwa nduguUkifika huko unapohamia ukija kufunguwa baadhi ya mabox utakuta matupu na lile ulilofunga TV utakuta ndani ni kipande cha mbao badala ya FLAT SCREEN....
Nilijua pia hii itakua challenge. Usalama wa vitu hasa hivi vidogo vidogo.mana katika wafanyakaz hao katika kufunga funga akiona ka kitu ka kutia mfukoni?Ukifika huko unapohamia ukija kufunguwa baadhi ya mabox utakuta matupu na lile ulilofunga TV utakuta ndani ni kipande cha mbao badala ya FLAT SCREEN....
Nilijua pia hii itakua challenge. Usalama wa vitu hasa hivi vidogo vidogo.mana katika wafanyakaz hao katika kufunga funga akiona ka kitu ka kutia mfukoni....
Watu kama hawa ni wa kuwatia moyo coz ndio hasa kama jamii tunachotaka watu wajiongeze,hawa jamaa wana ofisi kabisa sio waongo...naamini kuna wadau wataleta mrejesho
Wabongo tuna kasoro ya kukatishana tamaa kwa kila fursakupigwaje boss?
Hongereni
Ambrrrr mbrrrr mbrrrr aiiii[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] mbrrrr mbrrrr mbrrrr aiiii
Njoo na Binti yako 3sam uthibitisheUnakuta ni mwanaume huyu[emoji28][emoji28]