Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

tupigie 0688115131

manaseeee.jpg
 
Hilooo nimeshaliwini kisaikolojia.

Inflicting pain without physical altercation. Living the victim hurt and hopeless nothing he can do except hurling insults to comfort himself.
Una mambo ya kike sana . kikubwa kuwa makini maana kuna wakati utajichanganya mahali pasipofaa ufanywe vibaya
 
Una mambo ya kike sana . kikubwa kuwa makini maana kuna wakati utajichanganya mahali pasipofaa ufanywe vibaya
Aii ambrr mbrrrr mbrrrr mbrrrr mbrrrr aiiii pata uhondo wa ushuz mbrrrr mbrrrr

Kammoon
 
Habar za muda huu kumekucha jamani kumekucha eeee muamke mje kwa manase fast courier mtupe na sis ridhiki [emoji16]

Alafu jua ata Bado halijawa Kali nawakumbusha tu huduma yetu ya kuhamisha ni mpyaaaa kabisa na iliyo bora...basi iyo quality mpaka naona aibu kujieleza sana leta kazi uone maajabu yake mambo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] yamekwiva huku

Washtue wenzio ukileta wengi tutaongea [emoji1787][emoji23]

0718072707
 
Back
Top Bottom