Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
- Thread starter
- #61
kumekucha kumekucha washtue wana manase fast courier anawasubiri 0718072707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sisi wa uswahilini unatuhudumia?
Maana huku kwetu kama unavyojua makarokoro huwa ni mengi mengi
Kuna mtumishi mwenzetu kahamishiwa Arusha ameenda kuripot last week na anarud kesho anafikiria kuhamisha vitu vyake vya ndan.Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi na huduma yetu ni ya haraka sana[emoji91][emoji91]
Tupigie 0688115131/ 0744302922 au watsapp 0718072707View attachment 2422109
View attachment 2422110
Kuna mtumishi mwenzetu kahamishiwa Arusha ameenda kuripot last week na anarud kesho anafikiria kuhamisha vitu vyake vya ndan.
Eg. Vitanda Viwil, Frijibkubwa milango miwil, Jiko la gesi pamoja na Mtungi wake, Majab Mawili, Na shangaz kaja ameniambia akijaza nguo na Vyombo zinaweza kuwa mbili na Mifuko ya Saflet mikubwa minne atajaza vikorokoto vingine.
Hivyo naomba kujua gharma zenu zikoje?
NOTE: A) Pls jb hapa usije Inbox lengo ni KUONA wapi ni Gharama nafuu na mzigo ukafika ukiwa Salama.
B) Gharama ya kupakia mzigo kwenye gari zenu za Mizigo ni Juu yenu au juu yake Mwenye mzigo.
Na mizigo yake ipo Kimara Korogwe...
C) Nikiona mpo vizur na gharama zenu ni Affordable nitampa namba zenu atawapigia
Hii imekaa vizuri sana...Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi na huduma yetu ni ya haraka sana[emoji91][emoji91]
Tupigie 0688115131/ 0744302922 au watsapp 0718072707View attachment 2422109
View attachment 2422110