Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

Hata sisi wa uswahilini unatuhudumia?
Maana huku kwetu kama unavyojua makarokoro huwa ni mengi mengi
 
IMG_7988.jpg
 
Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi na huduma yetu ni ya haraka sana[emoji91][emoji91]

Tupigie 0688115131/ 0744302922 au watsapp 0718072707View attachment 2422109
View attachment 2422110
Kuna mtumishi mwenzetu kahamishiwa Arusha ameenda kuripot last week na anarud kesho anafikiria kuhamisha vitu vyake vya ndan.
Eg. Vitanda Viwil, Frijibkubwa milango miwil, Jiko la gesi pamoja na Mtungi wake, Majab Mawili, Na shangaz kaja ameniambia akijaza nguo na Vyombo zinaweza kuwa mbili na Mifuko ya Saflet mikubwa minne atajaza vikorokoto vingine.
Hivyo naomba kujua gharma zenu zikoje?

NOTE: A) Pls jb hapa usije Inbox lengo ni KUONA wapi ni Gharama nafuu na mzigo ukafika ukiwa Salama.

B) Gharama ya kupakia mzigo kwenye gari zenu za Mizigo ni Juu yenu au juu yake Mwenye mzigo.
Na mizigo yake ipo Kimara Korogwe...

C) Nikiona mpo vizur na gharama zenu ni Affordable nitampa namba zenu atawapigia
 
Kuna mtumishi mwenzetu kahamishiwa Arusha ameenda kuripot last week na anarud kesho anafikiria kuhamisha vitu vyake vya ndan.
Eg. Vitanda Viwil, Frijibkubwa milango miwil, Jiko la gesi pamoja na Mtungi wake, Majab Mawili, Na shangaz kaja ameniambia akijaza nguo na Vyombo zinaweza kuwa mbili na Mifuko ya Saflet mikubwa minne atajaza vikorokoto vingine.
Hivyo naomba kujua gharma zenu zikoje?

NOTE: A) Pls jb hapa usije Inbox lengo ni KUONA wapi ni Gharama nafuu na mzigo ukafika ukiwa Salama.

B) Gharama ya kupakia mzigo kwenye gari zenu za Mizigo ni Juu yenu au juu yake Mwenye mzigo.
Na mizigo yake ipo Kimara Korogwe...

C) Nikiona mpo vizur na gharama zenu ni Affordable nitampa namba zenu atawapigia

taratibu zetu
1.Tunakuja kwake kuiona mizigo yake au atume picha au video kwa maana mizigo huwa na sura tofauti na maandishi,
2. baada ya kuiona mizigo yake tunamtumia invoice ya kuichukua mizigo kwake mpaka kwenda kumpangia arusha
3. Invoice itajumuisha material yakufungia mizigo yake, usafiri wa mpaka arusha, pamoja na labor charges za kupanga vitu vyake, kubeba na kufunga mizigo yake

NB; invoice ipo kwa pdf, ntumie picha zake za vitu watsapp 0718072707 namimi ntume invoice
 
Back
Top Bottom