Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Kazi zetu zina ubora wa hali ya juu
IMG_20210908_161326_041.jpg
 
Kwa kufupisha maongezi, Nikiwa na Mil 1.5 naweza kichimbiwa kisima?
 
Mimi nipo Dodoma ngoja nikamilishe maandalizi ya shamba ndio mnichimbie kisima.
Sawa, ukiwa unaendelea na usafi wa shamba karibu tukufanyie utafiti wa upatikanaji wa maji ili mpka utakapomilisha usafi unakuwa unajua bajeti yako. Asante
 
Karibu tukupatie huduma ya kukuchimbia kisima chenye maji ya uhakika
 
Back
Top Bottom