Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nina nyumba yangu eneo la Mkata mkoani Tanga, je kwa makadirio yenu mnaweza kuchimba umbali gani kupata maji?
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Duh¿¡¡Kama watachimbia kutokea dar itakuwa kilometa 216
Tupime (survey) kwanza maana makadirio yana hasara zake mkuuMkuu nina nyumba yangu eneo la Mkata mkoani Tanga, je kwa makadirio yenu mnaweza kuchimba umbali gani kupata maji?
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Umeeleweka mkuuNadhani wamelewa ni umbali wa kwenda chini ardhini na sio kuyatoa maji mto Wami au Ruvu
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
TUNAOMBA MCHANGANUO NA BEI ZENU HADI KISIMA KUKAMILIAKMchanganuo upo katik hatua zifuatzo.
1- kupima upatikanaji wa maji. (Gharama hutegemea umbali na miundombinu yake ya kufika eneo hilo)
2- uchimbaji wenyewe( baada ya upimaji, tathmini ya gharama hufanyika kisha mteja atapaswa kulipa kiasi fulani cha fedha kabla ya kuchimbiwa, hatimaye kazi ikiwa mwishoni anamalizia malipo. Pia hili hutemea mazingira ya makubaliano.)
3-ufungaji wa pump, baada ya maji kupatikana , mteja atafungiwa pump ambayo yeye ataiweza kuinunua. (Gharama za vifaa hubadilika kutokana na msimu husika na hali ya soko)
4-Majaribio ya utokaji wamaji, baada ya pampu kufungwa , fundi atajaribu kuona ni kwa hali gani maji yanatoka mbele ya mteja.
5-Makabidhiano- mteja hukabidhiwa kisima na maji yakiwa yanatoka na tayari kwa matumizi.
NB: UJENZI WA VIFAA(MIUNDOMBINU YA MAJI) HII HUTEGEMEA MAAMUZI YA MTEJA.
Asante, karibu kwa maswal zaidi.
Kiongoz habari, karibu tukuhudumieMkuu nina nyumba yangu eneo la Mkata mkoani Tanga, je kwa makadirio yenu mnaweza kuchimba umbali gani kupata maji?
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app