Kibada wastan mita ngapi kwenda chini napata maji?Wadau karibuni kwa huduma za kuchimba visima bora kabisa kwa mashine za Kisasa na kujipatia maji ya uhakika.
Zaidi :::0752925925
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibada wastan mita ngapi kwenda chini napata maji?Wadau karibuni kwa huduma za kuchimba visima bora kabisa kwa mashine za Kisasa na kujipatia maji ya uhakika.
Zaidi :::0752925925
Duh...na garama hapo 130m inakuwa kiasi gani70-130M
Dar Ilala Ukonga MombasaKaribu mkuu....kisima kipo Mkoa gani? Wilaya na umbali gani kutoka barabara ya lami?
Habari, ni asili ya eneo. Inawezekana kupata lakini sio kwa ujanja WA kibinadamu ni by chance tu.Huko mkoani kwetu, visima vilivyopo vinakua na maji ya chumvi. Shida ni nini, kina kifupi au ndivyo ukanda wake ulivyo? Inawezekana kupata maji ysiyo na chumvi eneo kama hilo?
Duh kumbe mnabahatisha mbona wengine wanasema wana vifaa vya kugundua miamba ya chumvi na isiyo na chumvi?Habari, ni asili ya eneo. Inawezekana kupata lakini sio kwa ujanja WA kibinadamu ni by chance tu.
Dodoma mpKibada wastan mita ngapi kwenda chini napata maji?