Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ukweli viko vifaa vinavyo detect watersalinity ya point kwenye surveyDuh kumbe mnabahatisha mbona wengine wanasema wana vifaa vya kugundua miamba ya chumvi na isiyo na chumvi?
Basi huyu yeye atakuwa hana hicho kifaaHuo ni ukweli viko vifaa vinavyo detect watersalinity ya point kwenye survey
Mzee baba laki 5? Kweli maji ni uhai. Dp wodiLaki tano boss...karibu
Keshokutwa nakupigia picha hio kifaa...na baada ya kupima...Acha kutapeli watu, water quality na quantity siku zote hujulikana baada ya kuyapata maji. Acheni kutumia njaa kutapeli watu.
Tatizo mnatumia vijiti ukute kupima majiBoss pia sio mbaya kujiridhisha kwa wataalamu wengine, ili pesa yako itumike kwa thamani ya KAZI husika
Hana...mimi kipo...uncle wangu anacho na ni one of the bestest..na hii tz kuna wa pili kakinunua haujaisha mwez...na ntapiga picha muone kinavo displayBasi huyu yeye atakuwa hana hicho kifaa
Nasema kitu nnachokijuaUkweli utatuweka huru
Nawew kuwaambia watu hakuna kipimo cha kupima salinity ya maji kwenye survey ni either muongo .ama hujuii..Kwenye kizungu tu imeinesha kuna shida mahali
Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.Hana...mimi kipo...uncle wangu anacho na ni one of the bestest..na hii tz kuna wa pili kakinunua haujaisha mwez...na ntapiga picha muone kinavo display
Kilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.
Yeah na kifaa hicho kipo na huwa nakitumia..Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.
Usimalize maneno we mzee...muulize simba hotel hapo dodoma mabalas niliyofanya kwenye kumchimbia kisimaKilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.
..kusema alipima akapata fresh water pembeni ya mzungu mwenye kisima cha chumvi ni kawaida jamaa ilikuwa bahati yake tu.
NOTE: always quantity na quality of water is known after drilling water. Mengine ni lugha za biashara tu.
Ile kwamba wewe hufanyi usi conclude kwa wengine,ndio maana leo kuna vifaa vya kutambua madini mbalimbali kwenye ardhi kwanini kwenye maji ishindikane.Kilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.
..kusema alipima akapata fresh water pembeni ya mzungu mwenye kisima cha chumvi ni kawaida jamaa ilikuwa bahati yake tu.
NOTE: always quantity na quality of water is known after drilling water. Mengine ni lugha za biashara tu.