Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Hana...mimi kipo...uncle wangu anacho na ni one of the bestest..na hii tz kuna wa pili kakinunua haujaisha mwez...na ntapiga picha muone kinavo display
Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.
 
Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.
Kilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.
..kusema alipima akapata fresh water pembeni ya mzungu mwenye kisima cha chumvi ni kawaida jamaa ilikuwa bahati yake tu.

NOTE: always quantity na quality of water is known after drilling water. Mengine ni lugha za biashara tu.
 
Nakuunga mkono, kuna mtu namheshimu alisema anacho hicho kifaa kule mbeya alienda manyara kuchimba kisima akapima yakatoka maji fresh, akawepo mzungu aliechimba kisima pembeni lakini maji yakawa na chumvi kiasi kwamba mifugo ikawa inashindwa kunywa.
Yeah na kifaa hicho kipo na huwa nakitumia..
 
Kilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.
..kusema alipima akapata fresh water pembeni ya mzungu mwenye kisima cha chumvi ni kawaida jamaa ilikuwa bahati yake tu.

NOTE: always quantity na quality of water is known after drilling water. Mengine ni lugha za biashara tu.
Usimalize maneno we mzee...muulize simba hotel hapo dodoma mabalas niliyofanya kwenye kumchimbia kisima
 
Kilichotokea ni by chance wala sio kwa uhakika. Kwenye suala la vipimo vya underground water ni vipimo pia vigumu saana MTU asipokuwa makin kuunganisha sababu ambatano majibu yanakuwa Yana changamoto saana.
..kusema alipima akapata fresh water pembeni ya mzungu mwenye kisima cha chumvi ni kawaida jamaa ilikuwa bahati yake tu.

NOTE: always quantity na quality of water is known after drilling water. Mengine ni lugha za biashara tu.
Ile kwamba wewe hufanyi usi conclude kwa wengine,ndio maana leo kuna vifaa vya kutambua madini mbalimbali kwenye ardhi kwanini kwenye maji ishindikane.
 
Back
Top Bottom