Upo sahihi wakati mwingine vipimo vinagoma lakini matokeo yanakubaliNi kama bahati tu kuna siku tumechimba maeneo ya rondo plateu kama unavojua elevation yake ni above 500 m sasa kimechimba hiko kwenye 140 m yamefumuka maji hayo yaani kukawa bahari kijijini wanakijiji wakatupa mpaka mademu bure na kuku...ni kama zali tu hizi kazi
Mimi sijasema maji baridi..nimesema option ya mteja kujua maji kabla ya kuchimbiwa kisimaBoss, maeneno ilipo Simba hotel ni maeneo yenye bahati ya maji baridi, yaan area A,C, D ilazo, kisasa na mlimwa C yana base ya maji yasiyo na chumvi, sio kwamba ulipata maji baridi kwa sababu wewe ndio uliyatafuta.
Sema ukweli hata kama unauma. Kupata maji baridi au sio baridi ni mapenzi ya Mungu sio kwa sababu umepima wewe au kutafuta.
Ujuzi wako uliishia kuipata point yenye wastan mzur WA upatikanaji WA maji baaasi, mengine Mungu akafanya kazi yake
Wewe endelea kubishana kwa kutokujuaAkucheki ni vizuri lakini usidanganye watu kwa tamaa ya pesa, maji utafanya utafiti na kweli utakuwa upo sahihi. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba kiwango na ubora wa maji hujulikana baada ya kuchimba..
Hiyi ger detector umeisoma au unabwabwajaTuna jamii ambayo inapenda kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli... Ya kuambiwa ongeza na ya kwako
Boss lugha nyepesi ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima ni kwamba baada ya kupima tunapata point yenye wastan mzuri WA maji.Mimi sijasema maji baridi..nimesema option ya mteja kujua maji kabla ya kuchimbiwa kisima
Sawa mimi ni tapeli..nawewe na survey zako za vifaa weak like seven daysNi Bora Mie ninayebwabwaja ukweli kuliko wewe tapeli
Tuendelee kuwapa wadau na wateja huduma zetu Bora bwana juma mpembaSawa mimi ni tapeli..nawewe na survey zako za vifaa weak like seven days
Hiyo ni experience ya vifaa vyakoBoss lugha nyepesi ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima ni kwamba baada ya kupima tunapata point yenye wastan mzuri WA maji.
Lakin kuhusu chumvi au wingi WA maji ni baada ya kuyapata maji.
Mbona ni rahisi tu. Kwanini umjaze upepo WA majibu ambayo wewe Huna uhakika nayo.?
Mara ngapi machine inaonesha fresh water kwenye profile zote lakin ukichimba unapataka maji yenye chumvi Kali tena hayafai kunywa kabisa
Sawa kaka...kazi iendeleeeTuendelee kuwapa wadau na wateja huduma zetu Bora bwana juma mpemba
Kunizid miaka 4 hai justify kwamba kila utachosema ni sahihijuma mpemba nimeanza kutumia jamiiforum miaka minne kabla yako, sifa ya humu ni kuwa mkweli lasivyo utaumbuka. Maana watu WA humu wanajua meengi saana sema tu wanakuchoota upepo siku ya siku unafedheeka.
Kuwa Makini ndugu yangu
Mimi hata sasa nakupa maua yako maana uko field...issue tu ni kwenye devicee unayosema hai detect salinity na picha nimetuma page ya nyumaKuna siku utatupa maua yetu mkuu
Sio kila Ila kwenye Hilo mkuu...Hio
Kunizid miaka 4 hai justify kwamba kila utachosema ni sahihi
Majibu huwa ni probalitiesSio kila Ila kwenye Hilo mkuu...
Sina ubaya na wewe Ila kwenye Hilo kama ilikupa matokeo basi usidhan ni mashine it just happened tu mkuu....nenda hata DDCA nenda WA wahindi watakwambia Hilo halinaga majibu yaliyo na uhalisia asilimia mia