Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Ahha wap wewe ndo haujui wakuu hebu nisaidieni hii gari ni Auto au manual check atachment no 5 fresh
 
Ahha wap wewe ndo haujui wakuu hebu nisaidieni hii gari ni Auto au manual check atachment no 5 fresh

Mkuu kitufe kinaonekana ni cha manual transmission sio automatic.

Alafu gari lenyewe linaonekana wamelipark kwenye moja ya mayard huko katika nchi za Kiarabu si ajabu Dubai!!
 
du jfb bwan furaha sana yard ipo sinza tunauza magari lexus 2016,land cruiser 2015 na 2016 gari lipo sinza na ni automatic
 
🙄🙁
Kwa hii hali ya Magufuli.. ukipata mtu akakupa 70 Mil kwa hiyo gari una bahati kubwa... seriously
 
Sorry kilometre 0 sio sahihi kabisa! Hapo yamegfikaje? Test drive ya kiwandani je? Kutoka kiwandani mpaka melini je? Kuingia melini je? Kutoka melini mpaka bandarini je? Bandarini mpaka hapo yard je? Hakika sio kilometre 0 unless otherwise...!
 
Mkuu kitufe kinaonekana ni cha manual transmission sio automatic.

Alafu gari lenyewe linaonekana wamelipark kwenye moja ya mayard huko katika nchi za Kiarabu si ajabu Dubai!!
Hapa ni bongo
1471105512356.jpg
 
jf bwa furi burudani jamaa analazimisha gari lipo dubai dahaaaa aise gari lipo bongo ilo gari limelipiwa teyari asanteni ila junne tunaleta tena mengine karibuni
 
hapo kwenye 0km, Tanzania hahapa ama?......Anza safari ya kuzipeleka dodoma. Madili yanahamia kule
 
Haya ndo yanaitwa magari sasa..anyway gud luck muuzaji..ukiona mtu anaongea sana jua hana kitu..gud luck
 
Kwa engen hyo utaiuza fasta gari hyo

Ova
 
Back
Top Bottom