HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
Hahaha jamaa ako anauza gar ya ke skrepa ngoja aje uzi mwengine wa kuuza tairil.Gar zima itakua bei gan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha jamaa ako anauza gar ya ke skrepa ngoja aje uzi mwengine wa kuuza tairil.Gar zima itakua bei gan?
Yaani kama huo umeona ni uchafu then ukienda kwa wauza spare used then utakua unaona kila kitu pale ni uchafu.Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Ikifika 30k nistueKapunguza 5k
Yaani kama huo umeona ni uchafu then ukienda kwa wauza spare used then utakua unaona kila kitu pale ni uchafu.
Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Ukikua utajua haujui.Yan mtu mzima na heshima zako unanunua huo uchaf wenye kutu kwa 180k unafunga kwenye gar lako? Shame upon u!
Wamefunga shule wapo likizo tutasaishwa Sana nashukulu Sana kwajibu Safi na kwakunisaidia hakikua hatajuaUkikua utajua haujui.
Kwa Sasa shule zimefungwa kwasasa kwaiyo haya tunayategemea Sana kwenye matangazo jfHahaha jamaa ako anauza gar ya ke skrepa ngoja aje uzi mwengine wa kuuza tairil.
Shule zimefungwa kwasasa kwaiyo haya tunayategemea sana
Nataman mteja ungekuwa unapanga wewe kutoka kwako ila km anapangwa namungu mbona ntauza tuIzo taa ukiuza hata kwa elf 50 utakua umebahatika sana..kila la heli..unitumeapo ya choda!
Shule zimefungwa kwasasa kwaiyo haya tunayategemea sana
Nataman mteja ungekuwa unapanga wewe kutoka kwako ila km anapangwa namungu mbona ntauza tu
Kila tangazo langu una lipondea kwel kwel akika wewe ndio ungekuwa mpangaji wanani anunue nanani asinunue nisingeuza kabisa
Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760,,, 0755984282View attachment 1661634View attachment 1661635
Sawa mwelevu lakini ndio hivyo ntauza tu mbona