Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

Kwa bei hio si madalali wanaipakua chap tu, tena hata kwa 7.5 kama haina shida. Hii mtu atapigwa na kitu kizito
 
Sio utapeli ndugu yangu gari ipo na kabla hujanunua unaruhusiwa kuiangalia na kuikagua kama umeridhika nayo na unaitaka ndo unaweza kufanya malipo na ukaichukua gari....kumhukumu mtu kwa kitu ambacho hukijui ni dhambi pia
Wewe ni tapeli gari ipo ofisini kwetu magomeni na haiuzwi bei hyo wewe unakujaje kuitangaza kwa 5m?
 
Habarini Wana JF,

Mimi naitwa dalali kijana leo nimekuja na offer kwa boss wangu.Toyota Brevis 2002 5.8M tu.

kwa mawasiliano piga 0695022051

 
Habarini Wana JF gari kall aina ya AUDI ipo sokoni karibuni umiliki gari yenye Hadhi kubwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…