Tunauza Magari Makubwa na madogo ya aina mbalimbali

Tunauza Magari Makubwa na madogo ya aina mbalimbali

Mmmmhhhhhh wabongo mnapenda kuwaingiza vyoo vya kike wenzenu sasa kama ni nzuri kwanini usiendee nazo mpaka umeamua kuagiza mpya?
 
Mabasi aina ya scania 112,113,114 na 94 pamoja na yutong cummnis engine,yutong yenye engine ya scania 93 na 94 gari zote zipo barabarani zinafanya kazi kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa alexkakondele@gmail.com. au kupitia WhatsApp 0765032151
 

Attachments

  • 1422685578272.jpg
    1422685578272.jpg
    48.4 KB · Views: 347
  • 1422685606452.jpg
    1422685606452.jpg
    27.5 KB · Views: 280
  • 1422685630606.jpg
    1422685630606.jpg
    39.2 KB · Views: 266
  • 1422685656378.jpg
    1422685656378.jpg
    69.7 KB · Views: 275
  • 1422685677568.jpg
    1422685677568.jpg
    63.3 KB · Views: 274
Tata 2007 model COACH BUS (LHD), 94538
Gari hii inauzwa being ni milioni thelathini na tano (35,000,000).Ipo katika hali nzuri na unywaji wake wa mafuta ni mdogo sana inatumia diesel,ina siti 55.
Pia tunauza mabasi aina ya yutong,Marcopolo Andare class,Irizar pamoja na Scania zenye mabody yaliyo chongewa Nairobi.Yutong zote tulizonazo tayari tumeshafunga Engine,Gearbox,Diff za high speed na Front axle za Scania.bei zetu ni kuanzia
30_60 kwa scania zenye local fabricated body
80_100 YUTONG
90_100 MARCOPOLO ANDARE
100_IRIZAR.
Gari zote ni nzima na zinafanyakazi
 

Attachments

  • 1433246473724.jpg
    1433246473724.jpg
    71.4 KB · Views: 376
  • 1433246506010.jpg
    1433246506010.jpg
    73.7 KB · Views: 368
  • 1433246526757.jpg
    1433246526757.jpg
    66 KB · Views: 487
  • 1433246547727.jpg
    1433246547727.jpg
    115 KB · Views: 500
  • 1433246576633.jpg
    1433246576633.jpg
    16.8 KB · Views: 398
Lori aina ya ERF linauzwa lipo katika hali nzuri na linatembea ni Hoarse pamoja na tela lake Tela ni aina ya Traledo kutoka uingereza lina leaf spring pamoja na busta vyote kwa pamoja vinauzwa milioni arobaini (40,000,000) lakini unaweza kulipia nusu tukaandikishiana makubaliano maalum. 0765032151
 

Attachments

  • 1433649103930.jpg
    1433649103930.jpg
    30.8 KB · Views: 355
Hii gari mikoani inaweza kufka mkuu kwa jinsi ulivyoizoea.?be honest mkuu tufanye biashara.!!
 
inafika kabisaa wiki iliyopita ilitoka Mwanza Jana imepeleka mzigo tanga
 
Lori aina ya ERF linauzwa lipo katika hali nzuri na linatembea ni Hoarse pamoja na tela lake Tela ni aina ya Traledo kutoka uingereza lina leaf spring pamoja na busta vyote kwa pamoja vinauzwa milioni arobaini (40,000,000) lakini unaweza kulipia nusu tukaandikishiana makubaliano maalum. 0765032151

Kichwa na trela 40m?hii si bei ya fuso? Mbona kama naona ni too good to be true?au nivipi mkuu nieleweshe.
 
kaka ndio maana nimeweka hiyo bei mkuu maana ukifatilia bei halisi ya hiyo horse na trailer n bei juu
 
Toyota Hilux Double Cabin
Namba A
Mwaka_1992
Injini_3L
Cc_2800
Manual
Inatumia Diesel
Bei tzsh_ 10,000,000/=
Haidaiwi Tra,Gari ni nzima ipo Tanga mjini
Mawasiliano 0765032151
ded7bb37aa8c21786d59ed7c55c6bfff.jpg
a37cb5fd5d30aa256232e0de6977a0b3.jpg
85763ec93c0ece2efaec3b0624925af2.jpg
254858ba5a4e6d6fbdbaa74e8291a348.jpg
f7ddeed629d91e598632b88053c1efa3.jpg
 
Back
Top Bottom