Tunauza Magari Makubwa na madogo ya aina mbalimbali

Mmmmhhhhhh wabongo mnapenda kuwaingiza vyoo vya kike wenzenu sasa kama ni nzuri kwanini usiendee nazo mpaka umeamua kuagiza mpya?
 
Mabasi aina ya scania 112,113,114 na 94 pamoja na yutong cummnis engine,yutong yenye engine ya scania 93 na 94 gari zote zipo barabarani zinafanya kazi kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa alexkakondele@gmail.com. au kupitia WhatsApp 0765032151
 

Attachments

  • 1422685578272.jpg
    48.4 KB · Views: 347
  • 1422685606452.jpg
    27.5 KB · Views: 280
  • 1422685630606.jpg
    39.2 KB · Views: 266
  • 1422685656378.jpg
    69.7 KB · Views: 275
  • 1422685677568.jpg
    63.3 KB · Views: 274
Tata 2007 model COACH BUS (LHD), 94538
Gari hii inauzwa being ni milioni thelathini na tano (35,000,000).Ipo katika hali nzuri na unywaji wake wa mafuta ni mdogo sana inatumia diesel,ina siti 55.
Pia tunauza mabasi aina ya yutong,Marcopolo Andare class,Irizar pamoja na Scania zenye mabody yaliyo chongewa Nairobi.Yutong zote tulizonazo tayari tumeshafunga Engine,Gearbox,Diff za high speed na Front axle za Scania.bei zetu ni kuanzia
30_60 kwa scania zenye local fabricated body
80_100 YUTONG
90_100 MARCOPOLO ANDARE
100_IRIZAR.
Gari zote ni nzima na zinafanyakazi
 

Attachments

  • 1433246473724.jpg
    71.4 KB · Views: 376
  • 1433246506010.jpg
    73.7 KB · Views: 368
  • 1433246526757.jpg
    66 KB · Views: 487
  • 1433246547727.jpg
    115 KB · Views: 500
  • 1433246576633.jpg
    16.8 KB · Views: 398
Lori aina ya ERF linauzwa lipo katika hali nzuri na linatembea ni Hoarse pamoja na tela lake Tela ni aina ya Traledo kutoka uingereza lina leaf spring pamoja na busta vyote kwa pamoja vinauzwa milioni arobaini (40,000,000) lakini unaweza kulipia nusu tukaandikishiana makubaliano maalum. 0765032151
 

Attachments

  • 1433649103930.jpg
    30.8 KB · Views: 355
Hii gari mikoani inaweza kufka mkuu kwa jinsi ulivyoizoea.?be honest mkuu tufanye biashara.!!
 
inafika kabisaa wiki iliyopita ilitoka Mwanza Jana imepeleka mzigo tanga
 

Kichwa na trela 40m?hii si bei ya fuso? Mbona kama naona ni too good to be true?au nivipi mkuu nieleweshe.
 
kaka ndio maana nimeweka hiyo bei mkuu maana ukifatilia bei halisi ya hiyo horse na trailer n bei juu
 
Hii gari mikoani inaweza kufka mkuu kwa jinsi ulivyoizoea.?be honest mkuu tufanye biashara.!!

Haya magari yapo kwa wingi Malawi na Zimbabwe ni mazuri.
 
Toyota Hilux Double Cabin
Namba A
Mwaka_1992
Injini_3L
Cc_2800
Manual
Inatumia Diesel
Bei tzsh_ 10,000,000/=
Haidaiwi Tra,Gari ni nzima ipo Tanga mjini
Mawasiliano 0765032151
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…