Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

CIF ni 2400,kodi,port charges,registration number,bima na 200,000 ya agent jumla nilitoa 6,845,000,hizo usd 2400 nilichange kwa tsh 5,367,000,hivyo chukua 5,467,000+6,846,000 unapata jumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kodi: 8.3m
Bei ya gari: 6m
Gharama za kuclear bandarini ~ 700k
Total = 15m
Huwa namuona siku nyingi sana ananifata fata kwenye biashara zangu mkuu, sasa leo namsubiri anipe hiyo Crown ya 12m nilipie asbh....kibiashara ukiipata gari kama hiyo Chassis Number kweli kwa bei hiyo, huwezi kuiacha...Lazima ulipie.
.
Kwa viwango vya ushuru vya sasa hivi vya TRA na TPA gari kama hiyo itaku-cost sio pungufu ya TZS. 16.5m mkuu....TRUST ME OR ASK SOMEONE YOU TRUST IN AUTHORITIES
.


Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_2020-02-17-21-41-44-297_com.android.chrome.jpeg
Screenshot_2020-02-17-21-38-43-504_com.android.chrome.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kodi: 8.3m
Bei ya gari: 6m
Gharama za kuclear bandarini ~ 700k
Total = 15mView attachment 1361159View attachment 1361160

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni Crown Royal Saloon ambayo market price yake huwa ni pungufu ya Athlete...Ok tuseme na Crown Athlete kama hii yangu pia utaibahatisha kwa 15m..... [emoji848] sasa yangu ninayouza hapa ni pungufu ya hiyo bei ya 15m na negotiations zipo.... na tayari utakuwa umeokoa mwezi mzima wa kusubiri na baadhi ya risk za kuagiza na kusubiri. Na price ina-include registration pia....Unasemaje? [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi own Toyota Crown. So sijui tofauti kati ya athlete na royal saloon but from what i physically saw hizi gari hazina tofauti kubwa interms of price and engine. Nimekuwekea attachment hizo mbili kujustify my point ya bei sio tofauti sana. View attachment 1371060View attachment 1371061

Sent using Jamii Forums mobile app
Athlete na Royal bei hazilingani ndugu, ndio maana nilisema gari kama hii ninayouza kwa viwango vya ushuru vya sasa huwezi kuipata chini ya 16.5m.
.
Vizuri umekuja na analysis ya Crown Royal uliyojumuisha kwamba ni 15m, sasa hii yangu ni Athlete na ninauza 14.7m na still negotiating table ipo na registration nakufanyia.
.
KARIBUNI SANA ZIPO 4 OFISINI KWA BEI HIYO HIYO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutegemea na nilikuwa nakusubiri kwa hamu MSHE*NZI mkubwa wewe...Niletee Crown kama hiyo kwa hiyo bei ya 12/13 nikulipe kesho asbh na mapema MPU*UZI mkubwa. Kazi kuharibu biashara za watu tu.
.
Halafu uje pia kwenye ule uzi wa RANGE ROVER ya 32m, sijakuona mpaka sasa.
.
Karibu MSHAMBE**NGA mkubwa wewe mwenye tabia za kike

Sent using Jamii Forums mobile app

Ohoo. Mbona kwa hasira sana mkuu. Si ungejibu kwa hoja!
 
Nilikutegemea na nilikuwa nakusubiri kwa hamu MSHE*NZI mkubwa wewe...Niletee Crown kama hiyo kwa hiyo bei ya 12/13 nikulipe kesho asbh na mapema MPU*UZI mkubwa. Kazi kuharibu biashara za watu tu.
.
Halafu uje pia kwenye ule uzi wa RANGE ROVER ya 32m, sijakuona mpaka sasa.
.
Karibu MSHAMBE**NGA mkubwa wewe mwenye tabia za kike

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuibia watu kiboya mwenye kutaka kama hiyo ninayo nauza 13ml
 
Acha kuibia watu kiboya mwenye kutaka kama hiyo ninayo nauza 13ml
Si ufungue uzi wako uposti uuze hata buku ni yako hakuna atakae kushangaa lakini kuingilia biashara za watu na kuchafua hiyo ni udumavu wa akili yeye anauza gari yake kwa Bei anayotaka yeye Nini tatizo au Ni roho mbaya na chuki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia bei ya crown athlete nimeweka attachment ambayo ni sawa na royal saloon zinarange 6m-6.5m.
Sorry nini tofauti ya athlete na royal?
Maana zote engine ni 4GR with same interior and exterior specs.
Athlete na Royal bei hazilingani ndugu, ndio maana nilisema gari kama hii ninayouza kwa viwango vya ushuru vya sasa huwezi kuipata chini ya 16.5m.
.
Vizuri umekuja na analysis ya Crown Royal uliyojumuisha kwamba ni 15m, sasa hii yangu ni Athlete na ninauza 14.7m na still negotiating table ipo na registration nakufanyia.
.
KARIBUNI SANA ZIPO 4 OFISINI KWA BEI HIYO HIYO

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom