Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

gar zinanunuliwa sana kwa kas ikiwa namba dl means imeingia kati ya mwaka flan had mwaka flan as magar yanaagizwa meng na namba zinabadilika kila mara gar mpya inainga nchini


Sent from my iPhone using JamiiForums
Pale nilimaanisha mtu akija mwaka 2024 akakuta gari lako ni DLA (mfano) kama yuko informed atajua kuwa hili lilinunuliwa 2020 au hakuna njia rasmi ya kufahamu mwaka mpaka uulize. Inakuwaje kuna member alijua registration year ni 2015 wakati kwenye tangazo haikutajwa. Hii skill nikipata itaniongeza ujanja.
 
Pale nilimaanisha mtu akija mwaka 2024 akakuta gari lako ni DLA (mfano) kama yuko informed atajua kuwa hili lilinunuliwa 2020 au hakuna njia rasmi ya kufahamu mwaka mpaka uulize. Inakuwaje kuna member alijua registration year ni 2015 wakati kwenye tangazo haikutajwa. Hii skill nikipata itaniongeza ujanja.

kwa mfano sisi ambao tuna ofs za clearing huwa tunajua na ukichukua kad ya gar itaonyesha first registration mwaka 2015
but you must differenciate na ile gar ya mwaka 2005 means ni toleo la 2005
kwa hio 2005 had na 2015 ilikuwa japan inatumika then 2015 had saiv iko bongo so
kuna vitu viwil tofaut apa
which affects the price of a car


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
dogo achana na mipasho ndo jf hii,mteja anayetaka gri taku pm basi hapa utapiga kelele hamn mnunuzi tulia.
ulivyosema chinese owner ndo hapo watu wanaogopa corona andika british owner ongeza bei.
watanunua usiwlaumu hawa ndugu zako manumba
Ngosha huyo. Hawajaribiagwi hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Call: 0717 650800
IMG-20200209-WA0058.jpeg
IMG-20200209-WA0048.jpeg
IMG-20200209-WA0056.jpeg
IMG-20200209-WA0057.jpeg
IMG-20200209-WA0054.jpeg
IMG-20200209-WA0052.jpeg
IMG-20200209-WA0046.jpeg
IMG-20200209-WA0055.jpeg
IMG-20200209-WA0053.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20200209-WA0054.jpeg
    IMG-20200209-WA0054.jpeg
    66.6 KB · Views: 2
Wewe umekosea uliposema 'chinese' owner What are trying to imply?! Kwamba gari itakuwa bora zaidi kwasababu owner ni mchina au mbovu zaidi?

Kwa waliofanya issue na wachina wanawaelewa vizuri ni bora usingetutajia asili ya muuzaji,mambo ya zamani hayo

Sijui kwanini watu mnapaniki sana mtu akitaja yeye ni nani!?

Ni kweli ni chinese,na wewe una race yako yanini upaniki?

Unamuonea wivu kutaja anatoka wapi?

Punguzeni unaa wa kiduwanzi namna hii....

Yeye ni Chinese na mimi ni Tanzanian,yanini nimzuie yeye kutaja utaifa wake?

Yeye hajabagua mtu,wewe ndio umejaa machuki rohoni mwako umeona ngoja uanze kumkoromea

Fvck outta here!

Jikite kwenye biashara acha self hatred zako na inferiority complexes zilizokujaa
 
Sijui kwanini watu mnapaniki sana mtu akitaja yeye ni nani!?

Ni kweli ni chinese,na wewe una race yako yanini upaniki?

Unamuonea wivu kutaja anatoka wapi?

Punguzeni unaa wa kiduwanzi namna hii....

Yeye ni Chinese na mimi ni Tanzanian,yanini nimzuie yeye kutaja utaifa wake?

Yeye hajabagua mtu,wewe ndio umejaa machuki rohoni mwako umeona ngoja uanze kumkoromea

Fvck outta here!

Jikite kwenye biashara acha self hatred zako na inferiority complexes zilizokujaa
Duuu!Biashara ishaharibika walahi!
 
Huyo mjomba kawaida yake hua hapendi kua challenged kwny udalali wake.

dodge

World wide. Gas guzzlers resale value iko chini
Oh ngoja nipite mbali
Hilo neno "Chinese Owner" linakusumbua nini ndugu yangu? Mbona unaniharibia thread mkuu. Kwakuwa kama gari hujaipenda si hujaipenda tu?
.
Basi nisaidie kuwaambia Moderators warekebishe heading ili nafsi yako iridhike.
.
Nashukuru kwa kunielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Chinese owner au Chinese owned? Napenda kujifunza tu kipi ni sahihi
 
Napenda kujua,clearing and forwarding agent huwa anatoza kiasi gani kwenye bandari unapotaka kutoa gari lako
 
Back
Top Bottom