Mi mwenyewe nimecheka balaa, yule mwamba aliyeuliza kazingua kwani mtoa tangazo kaweka maelezo muhimu yote halafu anaibuka mtu mmoja asiye makini anaulizaMkuu nipo ofisini na umenifanya nimecheka kwa sauti mpaka kila mtu kanigeukia,kweli simu zinawehusha