amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Msinishambulie naenda kukopa VICOBAUsijali mie nitampa mil 3kabisa apate na hela ya service na mafuta. Ila mbususu anatoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msinishambulie naenda kukopa VICOBAUsijali mie nitampa mil 3kabisa apate na hela ya service na mafuta. Ila mbususu anatoa?
Wee njoo ukopenkwa gu riba 10%Msinishambulie naenda kukopa VICOBA
Nakazia [emoji1][emoji3]Nunua gar hiyo mkuu na we utembelee matacle
No ThanksKula 5m cash.
Karibu tuzungumze mkuuKuna option ya installment, alipe ngapi alafu kiasi kinachobaki amalizie kwa muda wa makubaliano, kadi unabaki nayo wewe...
Uchawi unakusaidia nini mkuu?
Kuuliza siyo ujinga.Uchawi unakusaidia nini mkuu?
Angalia wiper za hii Swift zilivyokaa sehemu inayotakiwa.Kwanini hizo wiper zimekaa katikati badala ya kulala chini?
View attachment 2198328
View attachment 2198329
Laiti kama wewe ndiwe ungekuwa muuzaji, unategemea ungemjibuje hili swali mteja [emoji848][emoji16]Imetumika hapa Tz au ndio imetua toka Japan?
Unauliza swali mwenyewe na unajibu mwenyewe? Infact siko hapa kulumbana mkuu.Angalia wiper za hii Swift zilivyokaa sehemu inayotakiwa.
Labda utuambie hapo ulikuwa umeziwasha ila hizo za mbele kwenye gari lako wiper 1 ipo katikati na nyingine imelala chini!
View attachment 2198459
View attachment 2198460
Unauliza swali mwenyewe na unajibu mwenyewe? Infact siko hapa kulumbana mkuu.
.
Bado naendelea kukuhoji, uchawi huwa unakusaidia nini kwenye biashara za wenzio zisizokuhusu?
😀😀😀😀Hii chombo pamoja na mambo mengine.
Tuwe waungwana imechezewa Kilometer
Avatar na jina lako vimenikumbusha wacha nikuache nisije nikaharibu swaumu yangu.Kwahiyo ukiziwasha hizo za mbele moja inakuwa katikati na nyingine inalala chini!!
[emoji2][emoji2][emoji2]
Kama huna majibu basi kuna shida kubwa sana kwenye kitu kinachouzwa.
Nami ni mnunuzi ndio maana nauliza hayo maswali kabla ya kuja kuangalia chombo chenyewe
Dah[emoji847]Baby walker