Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna pesa na sio mnunuzi
Kama 1999 ulikuwa hujaanza shule,let's assume umeanza chekechea 2000,alafu ukamaliza la Saba 2007 (Bado hujabarehe), ukabarehe ukiwa form 2 mwaka 2009 (which is unlikely ubarehe na kumpa mimba Binti mwaka huo)Duh gari imetengenezwa hata primary sijaanza na sasa nina mjukuu then unainadi na namba D? Hii INJI uhuru umezidi sana.
Hiyo gari vale yake kwa sasa inatakiwa I we 1-3 M.Mi sijakuelewa unachotaka kusema mkuu [emoji848]
Motivational speakers bana,market forces ndio inaamua Bei ya soko.Hebu tuambie Ni wapi hio Gari inaweza ikapatikana kwa Bei hio.Hiyo gari vale yake kwa sasa inatakiwa I we 1-3 M.
Hii analysis hatari😂😂Kama 1999 ulikuwa hujaanza shule,let's assume umeanza chekechea 2000,alafu ukamaliza la Saba 2007 (Bado hujabarehe), ukabarehe ukiwa form 2 mwaka 2009 (which is unlikely ubarehe na kumpa mimba Binti mwaka huo)
Mtoto wako naye likely kabarehe Ana Miaka 14,ndivo kusema naye kampa Binti mimba mwezi January mwaka huu🤣 ,na wewe Uhuru unataka kuzidi
Watu wanne wanakaa wapi kwenye hiyo gari?Yaani uaribu m6.9 kwa kigari cha kubeba watu wanne na milango miwili wakati iliongeza m2 unavuta noah unakula vichwa tu