Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

Mnapochangia mada someni jina la muhusika tafadhali.
 
Unakopesha?
 
nilikua nauliza iviii veep nikichukua dazani moja ntapata kweli nyongeza......jibu tafadhali
 
Zamani ilikuwa hivi;

1. Huwez pata tangazo la kibiashara la vituo vya afya.

2. Huwez pata tangazo la kibiashara la dawa na vifaa tiba.

3. Huwez pata tangazo la kibiashara la wataalamu wa fani za udaktar na sheria.

Saiz hayo yote hapo juu ni kinyume. Ni vema kila fani ijaribu kuzingatia outstanding ethics, norms and customs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…