Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakopesha?Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
😂😂😂😂Marehemu analipuka, tuna mpaka miwani ukitaka tunamvalisha
Nakojoooaaaaa... anakwambia eti ukifika mbinguni unaonekana wa kishua.
😂😂😂Marehemu kwenda kwa faza God akiwa nadhifu😀
Unapendeza hadi wanauliza..."marehemu amedamshi au hajadamshi"...?Sanda za kisasa zinasaidia nin 😂😂😂
Inategemea umekufaje?🤣Asante shingapi
MwanaFA wa sound tu.Tangu lini nyumba ya milele ikakosa kuwekewa mbwembwe na ac?Kaburi halihitaji mbwembwe ndiyo maana hawaweki AC
Habari ndiyo hiyo ......MwanaFA ft AY
Unakufa kishujaa.Unyonge unaachia wafuasi wa legacy.sasa hizo sanda na majeneza mapya ya kidijitali ya nn ?? ukifa umukufa tu
😂😂😂😂 ukifa, huozi.Sanda za kisasa zinasaidia nin 😂😂😂
Zipo.Za zamani ni mishono ya max na zembwela.Na za siku hizi ni "lesi-matirio"!kunà sanda za kisasa na kizamani?
Na ukioza hunuk😂😂😂😂 ukifa, huozi.
Pamoja duniani sipahala salama pakuishi Bora mbinguniInategemea umekufaje?🤣