Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Afadhar mkuu em nisaidie ww gari kubwa sio gar ndogo ndio tushazoea km 80,000 ,60000 sasa mm navyomwambia ananiletea makasiriko πŸ˜‚
 
Ishu ndogo maneno mengi. Wala sijahitaji kujua CV yako. Swali langu lilikuwa dogo tu.... Gari la 1998 lililotembea kilometa laki 2 sio used?

CV yako wape wajinga ambao hawajui namna ya kuagiza magari used wakidanganywa ni mapya.

Sasa jibu swali Acha mbwembwe
 
Kwahiyo gari ikitembea kilometa laki 2 sio used? Kumbe kweli wewe ni tapeli. Nilikuwa nakutetea kimakosa
 
Kwahiyo gari ikitembea kilometa laki 2 sio used? Kumbe kweli wewe ni tapeli. Nilikuwa nakutetea kimakosa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚una stress za mapenzi au shida nn au ndo bei ya mafuta inakuchanganya
 
nikopeshe hii chuma mkuu ila sina nata mia ya kuanzia
 
Ipo good hii chuma
 
UNAWEZA UKANUNUA KWA CASH AU MKOPO.

TARATIBU ZA KUPATA MKOPO WA GARI NI KWA CHASIS NUMBER TU.
●mteja utalipa 50%ya pesa kama utangulizi

●gari lazima ikatwe bima kubwa&car track(gprs)ndio Dhamana yetu

●muda wamkopo kuanzia miezi3,6,9,12 kwa magari madogo ama binafsi,kwa magari ya biashara kama tipper,truck,coaster,hiace, buss n.k.ni miezi 12+6

●mteja atawasilisha passport size,Tin namba,kitambulisho cha Nida au cha kula kwaajili ya usajili wagari lako.

●utaondoka na gari lako baada tu yakusajiliwa na kufungwa car track&bima.

β– ofisi ipo magomeni usalama na vingunguti

Mawasiliano
0769177042

 
Nipigie mkuu tu maana nishajielezea pitia post za juu utaona kama una uhitaji bc n lzm utanipigia
Mzee,

Mimi sijaona ambapo umeeleza
Direct anuani ya ofisi , ila umeleeza tuu kwamba mpo magomeni usalama na mikocheni.

Sasa magomeni / mikocheni maneneo ni mapana sana. Pia tungependa kuona stock ambazo mnazo tayari hapa kama ambavyo umetuelezea mleta mada
( picha )

Hii itasaidia sana.
 
Kwahiyo gari ikitembea kilometa laki 2 sio used? Kumbe kweli wewe ni tapeli. Nilikuwa nakutetea kimakosa
Sihitaji kutetewa na wewe, kuna siku au mahali nilikutumia kadi ya mwaliko uniteteee

unanitetea kwa kipi na kwa lipi? who are you? unaemtetea unamjua au shobo mdundo?

yes niite Tapeli, ukipenda niite CONTROLA man of the match, sijibugi wapumbavu ila

nimekujibu kidogo hii ili ujue kuwa huwa mimi sio mkimya au mpole naongea naandika halafu

zaidi ukizingua nakuzingua,am not that easy panadol so kuwa makini unapo quote maandishi yangu

sijawahi ku quote andishi lako ila muwasho uliokugusa ukakupelekea kuni quote,stay calm sister

sipo kama unavyofikiri "am rude" so kuwa makini mno kabla sijakutaftia MUME maana you seems like uko horny na kitu ikuguse mahala.

Call me kontrola, au Mwenyekiti wa Matapeli as your heart pleased to call me that way. Take care.
 
Acha uhaya wa kishamba we sister duu,bichwa kubwa akili kisoda

usichoelewa hapo ni kipi gari used JAPAN bongo ni mang'anyuu yani jipya?

Unajitia kukaza fuvu tu,ungekua around watu ka nyie mafuvu yenu tunachemshiaga supu

halafu tunamwaga chooni maana hata mmea haufai kupata mbolea ya fuvu lako,mnyama yeyote hafai nyweshwa supu itokanayo na mwili wako anaeza Paralyze.

Acha kuleta Uhaya wako wa kishamba,unajua agiza gari kwanini usilifate JAPAN ukaja nalo?...

Mwenye mbwembwe ni wewe mshamba mmoja hivi,Bchwa kontena akili kret...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Lbd ana stress mwenzetu tusimlaumu sana ila mwenye akili anaelewa nn tunazungumza
 
Kwa io unategemea unaweza pata fuso ya 50,000km[emoji23][emoji23][emoji23] c ndio?? ushawai kuagza gari kubwa lakin nisijekuwa nabishana na mtu amby aelewi chochote
Wewe ndio hujui watu hizo km zinaongezwa au kupunguzwa alafu unajifanya unajua biashara ya Magari wewe wa ajabu kweli kweli wewe
 

Naomba kufunzwa biashara ya magari?
 
Umekosea sana hapa!!.. Vyovyote ilivyo jamaa kaongea ukweli kabisa sasa wewe ungekua kweli unafanya biashara hii Kwa muda mrefu usingekuja hapa kubishana na kushambulia!!..Sasa hivi kila mtu anajua kuagiza magari Rafiki hizo bei ulizo weka ni za madalali hawajui bei zikoje na hawa miliki Magari!!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…